Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #21
Pesa pesaaaKidogo niseme salt bae imekuwaje tena apakatwe?
View attachment 2456615
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa pesaaaKidogo niseme salt bae imekuwaje tena apakatwe?
View attachment 2456615
Asilaumiwe sana, hawa viumbe huwa watamu balaa, mara nyingi wanawazidi hata wanawake asilia, likikupea linakupea kweliMchezaji wa Ufaransa na PSG, Kylian Mbappé hajawahi kuweka wazi mahusiano yake lakini anaripotiwa kutoka na mwanamitindo aliyebadili jinsia Ines Rau.
Mbappé na Ines Rau wameonekana mara kadhaa na Camera za Mapaparazi wakila bata kwenye maeneo ya kujidai!
Ines Rau alizaliwa mwanaume, akiwa na miaka 16 alifanya upasuaji wa kubadili jinsia na kuwa Mwanamke (Transgender).
Ines alipata msukumo wa kufanya upasuaji wake kutoka kwa mwigizaji Caroline Cossey, ambaye alibadilisha jinsia mnamo 1991 alikuwa mtu wa kwanza aliyebadili jinsia kuwahi kutokea katika jarida la Playboy.
Cossey aliandika kitabu ‘I am a Woman’ ambacho kilikuwa chanzo cha msukumo kwa Ines, alikuwa na usaidizi wote kutoka kwa familia yake na marafiki katika upasuaji huo.
Alifanyiwa upasuaji huo akiwa na umri wa miaka 16 lakini hakufichua (hakuweka hadharani) hadi alipokuwa na umri wa miaka 24 (miaka minane baadaye) aliogopa kuweka wazi mapema, alidhani watu watamkataa ikiwa watajua kuwa yeye ni mtu aliyebadili jinsia.
Mbappe Mbappe mbappe usije TZ. View attachment 2456607View attachment 2456608
Hapana,Kwa hyo anafukua mtaro wa dume jenzie [emoji849]
Tulia uandike sasanaandika nafuta naandika nafuta
Umewahi kuwalamba kaka?Asilaumiwe sana, hawa viumbe huwa watamu balaa, mara nyingi wanawazidi hata wanawake asilia, likikupea linakupea kweli
Mimi pia. Niliangalia mpira nikamuona alivyofunga akaenda kumrukia Giroud...nikasema huyu namna gani hapa...watu kule sports wakasema am over thinkin..haya kiko wapi?? Hakuna watu wanaotumika na mungu wa dunia hii kama watu famous...unless wazame deep deep kwenye imani na hawaachi hata kidogo!!!Sasa nimeelewa kuna viashiria fulani hivi vya huyo bwana mdogo ambavyo sikuvielewa na sasa nimevielewa
Kwani umtaro umezibwa hadi usifukuliwe?Hapana,
Ines amebadili jinsi yake kwa upasuaji kutoka Me kwenda Ke (Transsexual) anasema amedate wanaume wengi na hawakuwahi kumjua hadi alipojitangaza mwenyewe kua ni mbadili jinsia
Hapana aisee... huwa naona ni homo. Japo walaji wanawasifia sanaUmewahi kuwalamba kaka?
Huwa wapoje?Kuna msemo mmoja watalii waliofika thailand wanakuambia
"If you visit thailand beware of the prettiest young ladies"
Unaweza kulala akubake😂Teh! Yaani nimecheka Sana kudadeki.
Mimi nikajua tu kwamba nadate/ naishi na mtu aliyebadili jinsia Yake kutoka ME Hadi KE walahi ile ndukii nitatoka hapo sio ya kitoto yaani🏃🏃🏃
Hahahahaa mbape kumbe aliachwa? Kumbe anakula "Jicho" ndiyo maana mshine mda wote ipo dede akikumbuka "Nukta" ilivyo tight.Huyu dogo soka lake halitafika mbali
Dogo aliachwa na mrembo Emma baada ya mwanadada uyo kutomuelewa dogo akijiweka he sounds more like a woman
Sasa mbape amenasa kwa mwanamitindo ines ambaye alikuwa dume akaswitch jinsia
Ndege wafananao huruma pamoja kaka ake ronaldo naye alianza hivi hivi mpaka mwarabu akamuaharibia heshima
Kwa jinsi wafaransa wanavyopenda starehe Mbape ameumaliza mwendo
Na Inasemekana ana umri mkubwa kumzidi Mbappe..Ines Rau, ndio mpenzi wake kwa sasa!
Huyu ni transgender!