Kylian Mbape anatoka na dume lililobadili jinsia

Asilaumiwe sana, hawa viumbe huwa watamu balaa, mara nyingi wanawazidi hata wanawake asilia, likikupea linakupea kweli
 
Sasa nimeelewa kuna viashiria fulani hivi vya huyo bwana mdogo ambavyo sikuvielewa na sasa nimevielewa
Mimi pia. Niliangalia mpira nikamuona alivyofunga akaenda kumrukia Giroud...nikasema huyu namna gani hapa...watu kule sports wakasema am over thinkin..haya kiko wapi?? Hakuna watu wanaotumika na mungu wa dunia hii kama watu famous...unless wazame deep deep kwenye imani na hawaachi hata kidogo!!!
 
Hapana,
Ines amebadili jinsi yake kwa upasuaji kutoka Me kwenda Ke (Transsexual) anasema amedate wanaume wengi na hawakuwahi kumjua hadi alipojitangaza mwenyewe kua ni mbadili jinsia
Kwani umtaro umezibwa hadi usifukuliwe?
 
Teh! Yaani nimecheka Sana kudadeki.

Mimi nikajua tu kwamba nadate/ naishi na mtu aliyebadili jinsia Yake kutoka ME Hadi KE walahi ile ndukii nitatoka hapo sio ya kitoto yaani🏃🏃🏃
Unaweza kulala akubake😂
 
Huyu dogo soka lake halitafika mbali

Dogo aliachwa na mrembo Emma baada ya mwanadada uyo kutomuelewa dogo akijiweka he sounds more like a woman

Sasa Mbappe amenasa kwa mwanamitindo ines ambaye alikuwa dume akaswitch jinsia

Kwa jinsi wafaransa wanavyopenda starehe Mbape ameumaliza mwendo

 
Hahahahaa mbape kumbe aliachwa? Kumbe anakula "Jicho" ndiyo maana mshine mda wote ipo dede akikumbuka "Nukta" ilivyo tight.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…