Tetesi: Kylie Jenner amwagwa!

Tetesi: Kylie Jenner amwagwa!

Dada yao tu ndo sasa hivi kadumu na Kanye, ila Khloe na yule Tristan sina uhakika kama watadumu wale.

Ngoja azae kwanza tuone.
Khloe na lamar nadhani pia walikaa muda mrefu, hata yule dada yao mkubwa kourteny sijui ndiyo linaandikwa hvyo.
 
Khloe na lamar nadhani pia walikaa muda mrefu, hata yule dada yao mkubwa kourteny sijui ndiyo linaandikwa hvyo.

Ila nadhani Kanye na Kim hata drama hakuna sasa hivi, nawaelewa sana wale.

Ila Khloe sijapenda anambemenda Tristan.
 
Mkuu nunua dstv ujipatie channel ambayo utaweza kufuatilia maisha ya familia ya kardashian kwa ukaribu kama huwezi kwenda insta huko sidhan kama utawaelewa vizur kama mimi nisivyoelewa insta inavyoenda

Ila hata ukigugo wanapatikana
 
Halaf hii familia wanapenda wanaume weusi tu
Daaah wanapenda blacks sana.l

Mama yao alikuwa anachapwa na black boy

Khole kutoka na Lamar kaenda kwa Tristan Thompson sijui saivi yuko na nani.

Kim alikuwa na ray J anaenda kwa Kris humphiries akaona wazungu sio karudi kwa niccah kakojoe East.

Karodo yule sister wao kotney

Kaka yao Rob katoka na black woman mchinamweusi.

Hahahaha

Ukiingia hapo kwenye hiiyo family utskumbwa na ile ishu wanayosema inaitwa

The kardashian curse mambo yako yote vuluvulu usikute mchizi kashtua halafu ukichrki underground na hela hana.
 
Gabrielle union anambemenda dwayne wade kitambo usishangae

Ha ha ha, halafu niliona sehemu Gabrielle hana uwezo wa kuzaa, kwa hiyo anawalea kina Zaire kama wanae pekee.

Ila yule hakafata hela kama Kardashians.
 
Khole kutoka na Lamar kaenda kwa Tristan Thompson sijui saivi yuko na nani.

Ukiingia hapo kwenye hiiyo family utskumbwa na ile ishu wanayosema inaitwa

The kardashian curse mambo yako yote vuluvulu usikute mchizi kashtua halafu ukichrki underground na hela hana.

Khloe alienda kwa James Harden 2 seasons back na Harden ali underperform, baada ya hapo ndo kaja kwa Tristan, na jamaa production iko chini.

Majeruhi pia.

Kuna mwingine yuko na Griffin wa LAC.
 
Daaah wanapenda blacks sana.l

Mama yao alikuwa anachapwa na black boy

Khole kutoka na Lamar kaenda kwa Tristan Thompson sijui saivi yuko na nani.

Kim alikuwa na ray J anaenda kwa Kris humphiries akaona wazungu sio karudi kwa niccah kakojoe East.

Karodo yule sister wao kotney

Kaka yao Rob katoka na black woman mchinamweusi.

Hahahaha

Ukiingia hapo kwenye hiiyo family utskumbwa na ile ishu wanayosema inaitwa

The kardashian curse mambo yako yote vuluvulu usikute mchizi kashtua halafu ukichrki underground na hela hana.
Wanaume wa Kiafrica watamu
 
Back
Top Bottom