Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Halaf hii familia wanapenda wanaume weusi tu
Wanapenda wana michezo na wasanii wa hip hop wenye hela.
In short ni high end kind of business.
Hapo utasikia mwingine kapokea kijiti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halaf hii familia wanapenda wanaume weusi tu
kweli ee!Daah!nakapendaga
Umpeleke makete akanywe ulanzidhambi dada wa watu, aje kwangu tu nianze nae mwaka 2018
Nampenda khloe jamani, ana vituko sana.Waliachana na tyga kisa nini walikua wanapendeza
Halaf mboba Rob harudi insta jamani
Khole nae ana mimba
Nampenda khole jamani, ana vituko sana.
Khloe na lamar nadhani pia walikaa muda mrefu, hata yule dada yao mkubwa kourteny sijui ndiyo linaandikwa hvyo.Dada yao tu ndo sasa hivi kadumu na Kanye, ila Khloe na yule Tristan sina uhakika kama watadumu wale.
Ngoja azae kwanza tuone.
Khloe na lamar nadhani pia walikaa muda mrefu, hata yule dada yao mkubwa kourteny sijui ndiyo linaandikwa hvyo.
Mkuu nunua dstv ujipatie channel ambayo utaweza kufuatilia maisha ya familia ya kardashian kwa ukaribu kama huwezi kwenda insta huko sidhan kama utawaelewa vizur kama mimi nisivyoelewa insta inavyoendaNdio nani
Mkuu nunua dstv ujipatie channel ambayo utaweza kufuatilia maisha ya familia ya kardashian kwa ukaribu kama huwezi kwenda insta huko sidhan kama utawaelewa vizur kama mimi nisivyoelewa insta inavyoenda
Yes wanapatikana vizuri tu mkuuIla hata ukigugo wanapatikana
Khloe na lamar nadhani pia walikaa muda mrefu, hata yule dada yao mkubwa kourteny sijui ndiyo linaandikwa hvyo.
KourtneyKhloe na lamar nadhani pia walikaa muda mrefu, hata yule dada yao mkubwa kourteny sijui ndiyo linaandikwa hvyo.
Khloe na lamar nadhani pia walikaa muda mrefu, hata yule dada yao mkubwa kourteny sijui ndiyo linaandikwa hvyo.
Hahah... na komoni kidogoUmpeleke makete akanywe ulanzi
Daaah wanapenda blacks sana.lHalaf hii familia wanapenda wanaume weusi tu
Gabrielle union anambemenda dwayne wade kitambo usishangaeIla nadhani Kanye na Kim hata drama hakuna sasa hivi, nawaelewa sana wale.
Ila Khloe sijapenda anambemenda Tristan.
Gabrielle union anambemenda dwayne wade kitambo usishangae
Khole kutoka na Lamar kaenda kwa Tristan Thompson sijui saivi yuko na nani.
Ukiingia hapo kwenye hiiyo family utskumbwa na ile ishu wanayosema inaitwa
The kardashian curse mambo yako yote vuluvulu usikute mchizi kashtua halafu ukichrki underground na hela hana.
Wanaume wa Kiafrica watamuDaaah wanapenda blacks sana.l
Mama yao alikuwa anachapwa na black boy
Khole kutoka na Lamar kaenda kwa Tristan Thompson sijui saivi yuko na nani.
Kim alikuwa na ray J anaenda kwa Kris humphiries akaona wazungu sio karudi kwa niccah kakojoe East.
Karodo yule sister wao kotney
Kaka yao Rob katoka na black woman mchinamweusi.
Hahahaha
Ukiingia hapo kwenye hiiyo family utskumbwa na ile ishu wanayosema inaitwa
The kardashian curse mambo yako yote vuluvulu usikute mchizi kashtua halafu ukichrki underground na hela hana.