La Chalz Sinza, ni Kijiwe cha makaka poa

La Chalz Sinza, ni Kijiwe cha makaka poa

boni ukienda sehema fata kilichokupeleka kama kuna mengine unaachana nayo tu mm nafata beer nikimaliza nasepa ni sehemu nzr kwakweli kwa sisi wa karibu na hapo
Duh kwa kwel acha tu niende sehem nyengne nlizozoea nikanywe bila bugdha huko tuwaachie wenyewe mliopazoea
 
Nilienda siku inafunguliwa ilikua poa sana..kumbe ndio imekuja kuwa kijiwe cha makakapoa
 
Ukimuonaa mwanaume anapendaa saana kwenda la chalz sinza ujue naye ni mtumiaji wa mtandao wa goti manake pale ndo soko lao kuu zamani ilijulikana kama lavico .....So kuwa makini sio kilaa bar ya kuingiaa mjini ukienda pale kwa waanaojuaa wanajua kuwa ww ndo wale wale usishngae unafatwaa uanze kutukana tukana ovyo ndo bucha lao lili.....!!
Wewe una stress tu. Una haribu biashara ya bar ya MTU kwa fikra zako za kipuuzi. Kwani ww ulijuaje kama hujawah kwenda.
 
Ukimuonaa mwanaume anapendaa saana kwenda la chalz sinza ujue naye ni mtumiaji wa mtandao wa goti manake pale ndo soko lao kuu zamani ilijulikana kama lavico .....So kuwa makini sio kilaa bar ya kuingiaa mjini ukienda pale kwa waanaojuaa wanajua kuwa ww ndo wale wale usishngae unafatwaa uanze kutukana tukana ovyo ndo bucha lao lili.....!!
asifiae mvua imenyea!umejuaje yooote hayo?
 
Ukimuonaa mwanaume anapendaa saana kwenda la chalz sinza ujue naye ni mtumiaji wa mtandao wa goti manake pale ndo soko lao kuu zamani ilijulikana kama lavico .....So kuwa makini sio kilaa bar ya kuingiaa mjini ukienda pale kwa waanaojuaa wanajua kuwa ww ndo wale wale usishngae unafatwaa uanze kutukana tukana ovyo ndo bucha lao lili.....!!

WIVU WA KIBIASHARA HUU...TAFUTA BIASHARA NYINGINE YA KUFANYA LAKINI HII ACHANA NAYO
 
Back
Top Bottom