Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
La liga ina timu kadhaa ambazo ni bora lakini sio ligi bora.Mkuu La Liga ni ligi bora zaidi ya EPL, michuano ya UEFA inasupport hii hoja. EPL ni ligi yenye msisimko na ushindani tu lakini si bora kuzidi La Liga
Kipimo chao kikubwa ni madrid kuchukua UCL mara 14 na kuwapiga hizo top 3 basii.Hahaa.. watu mna vituko sana aseee. Yaan Laliga ni bora kuliko EPL, Kwa kigezo gani hasa? Haya twende pamoja hapa
1. Kwa kigezo cha Madrid kuzifunga timu za top 3 ya EPL wala sio kigezo cha ubora wa LaLiga bali ni ubora wa timu moja. Jiulize ni timu ngapi za LaLiga walau zimetetemesha kwenye UCL hata kufika hatua nzuri.
2. Kama kigezo ni kufanya vizuri kwenye UCL basi turudi msimu uliopita EPL imeingiza fainali timu zote huku Chelsea akimbamanda huyo Madrid kwenye semi's na Atletico Madrid kwenye quarter's
3. Kama kigezo ni kufanya vizuri kwenye UCL hebu rudi nyuma misimu 6 uone jinsi timu za EPL zinavyofanya vizuri huko UEFA. Halafu sasa ni timu tofauti tofauti Chelsea, Liver, Man City, Spurs na wakati LaLiga ni timu mbili tu mara nyingi ni Real Madrid, halafu wanaanza kubadilishana mara Sevilla, Atletico au Barca.
Hakuna namna unaweza kunishauri LaLiga ni bora kuliko EPL
1. EPL
2. LaLiga
3. Seria A
4. Bundesliga
5. Ligue 1
Hiyo ni kulingana na vyanzo mbalimbali vya kutoa taarifa za kuaminika kuhusiana na michezo
![]()
Country coefficients | UEFA rankings
UEFA.com is the official site of UEFA, the Union of European Football Associations, and the governing body of football in Europe. UEFA works to promote, protect and develop European football across its 55 member associations and organises some of the world’s most famous football competitions...www.uefa.com
Haina ufundi watu wanacheza kama nguruwe zimeachiwaNdo inapendwa na wengi sasa, ina ladha tofauti na ligi nyingi.
Siyo kuzipa tabu kuzifunga mara nyingiUko sahihi, La Liga iko underrated lakini mara nyingi timu zake huzipa tabu sana timu za Uingereza
Kuwa na akili barca na Madrid ni timu bora siyo rahisi ikafungwa na timu inashuka daraja ndo maana kila siku zinazifunga tu timu za uingerezaEpl inapendwa na ni bora maana timu hata inashuka daraja inakutana na bingwa inashinda. La liga au bundesliga unakuta bingwa anajulikana hata mechi 10 kabla.
Hili limzimu lazm lifufuke na limeshaanzaUsiwakumbushe mzimu Barcelona,likufufuka hili nalo linatandika vi Tim vya england Sana,Kuna mwaka man u alitandikwa palepale Wembley,dah,
😂 mkuu hata vilaza ukiwaweka pamoja watashindana. Ndio kinachoendelea EPL, ni ligi yenye ushindani wa timu za kawaidaLa liga ina timu kadhaa ambazo ni bora lakini sio ligi bora.
La liga haina ushindani kama EPL, ubora wa ligi ni ushindani bro.
Kwa saivi ndo inajitahidi kuikaribia EPL .
😂 hebu kuwa serious mkuu, Real Madrid peke yake wamebeba UCL 14 ambayo ni zaidi ya makombe yaliyobebwa na vilabu vyote vya Uingereza. Sasa hiyo EPL ubora wake ni upi?Hahaa.. watu mna vituko sana aseee. Yaan Laliga ni bora kuliko EPL, Kwa kigezo gani hasa? Haya twende pamoja hapa
1. Kwa kigezo cha Madrid kuzifunga timu za top 3 ya EPL wala sio kigezo cha ubora wa LaLiga bali ni ubora wa timu moja. Jiulize ni timu ngapi za LaLiga walau zimetetemesha kwenye UCL hata kufika hatua nzuri.
2. Kama kigezo ni kufanya vizuri kwenye UCL basi turudi msimu uliopita EPL imeingiza fainali timu zote huku Chelsea akimbamanda huyo Madrid kwenye semi's na Atletico Madrid kwenye quarter's
3. Kama kigezo ni kufanya vizuri kwenye UCL hebu rudi nyuma misimu 6 uone jinsi timu za EPL zinavyofanya vizuri huko UEFA. Halafu sasa ni timu tofauti tofauti Chelsea, Liver, Man City, Spurs na wakati LaLiga ni timu mbili tu mara nyingi ni Real Madrid, halafu wanaanza kubadilishana mara Sevilla, Atletico au Barca.
Hakuna namna unaweza kunishauri LaLiga ni bora kuliko EPL
1. EPL
2. LaLiga
3. Seria A
4. Bundesliga
5. Ligue 1
Hiyo ni kulingana na vyanzo mbalimbali vya kutoa taarifa za kuaminika kuhusiana na michezo
![]()
Country coefficients | UEFA rankings
UEFA.com is the official site of UEFA, the Union of European Football Associations, and the governing body of football in Europe. UEFA works to promote, protect and develop European football across its 55 member associations and organises some of the world’s most famous football competitions...www.uefa.com
Huo ushindani unasaidiaje kubeba vikombe vya UEFA? Kwa nini La Liga imeizidi EPL kwa idadi ya makombe ya UCL kama haina ubora?EPL inaushindani mwingi kuliko la lilaga ,
auwezi tabiri mshindi Epl
Lakini laliga kama sio Réal Madrid ni Barcelona ndio atakuwa mshindi kila mwaka
ila Epl utakuta
LIVER
M.CITY
CHELSEA
TOTHENAM
M.UNITED
Kaka kuna utafauti kati ya timu kuw a nguvu na league kuwa kuwa nguvuHuo ushindani unasaidiaje kubeba vikombe vya UEFA? Kwa nini La Liga imeizidi EPL kwa idadi ya makombe ya UCL kama haina ubora?
Jana alipaki,akapiga kauntaYote Tisa kumi mzee ancelotti ni bonge la tactician
Kutoka Madrid ya kuunga unga mpaka bingwa wa laliga + UEFA cl
Epl wanachoshwa Sana na ratiba zao,ligi ngumu pia...mechi za mtoano Kama za ucl Zina mbinu tofautiHuo ushindani unasaidiaje kubeba vikombe vya UEFA? Kwa nini La Liga imeizidi EPL kwa idadi ya makombe ya UCL kama haina ubora?
Nafasi ya nusu fainali mpaka fainali ni ligi gani imeingiza timu nyingi zaidi kwa miaka mitano iliyopita?Ni kweli ushindani ni mzuri kwenye ligi, lakini ukweli ni kuwa timu za La Liga ni more technical na bora zaidi ya timu za EPL. Hii michuano ya UEFA ni ushahidi tosha mkuu
Jana walipiga 2 shoots on target tu wakamaliza kazi.Yote Tisa kumi mzee ancelotti ni bonge la tactician
Kutoka Madrid ya kuunga unga mpaka bingwa wa laliga + UEFA cl
Niambie LaLiga ubora wake ni upi? Timu moja kubeba vikombe vingi ndio ubora ulipo?[emoji23] hebu kuwa serious mkuu, Real Madrid peke yake wamebeba UCL 14 ambayo ni zaidi ya makombe yaliyobebwa na vilabu vyote vya Uingereza. Sasa hiyo EPL ubora wake ni upi?
5Niambie LaLiga ubora wake ni upi? Timu moja kubeba vikombe vingi ndio ubora ulipo?
Hapo ndo utofauti wa neno bora na neno kupendwa/kuvutia.Unaweza kuenjoy kuangalia mechi mfano Brentford v Wolves, ila sio Osasuna v Cadiz