HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ndani ya miaka 5Nafasi ya nusu fainali mpaka fainali ni ligi gani imeingiza timu nyingi zaidi kwa miaka mitano iliyopita?
EPL kabeba UCL 2
Spain UCL 2
Germany UCL 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndani ya miaka 5Nafasi ya nusu fainali mpaka fainali ni ligi gani imeingiza timu nyingi zaidi kwa miaka mitano iliyopita?
Sawa, bonanza lenye timu zinazonyoosha timu bora za EPL 😂 😂Ukiona ligi unayoifuatilia unaweza kuiona kwa kifurushi cha 20k ujue unaangalia Bonanza,
Nadhani ungesema Real Madrid usiseme team za la liga sema Real Madrid hilo wala halina ubishi ila ukiongelea kwa team ni EPL wametoa washindi tofauti tofauti sio mmoja Liverpool, Man u, Chelsea, Nothigham Forest, Aston Villa hawa wote nyakati tofauti wameshinda kwa La Liga hakuna team zaidi ya Real na Barca, na Barca ni katika kipindi cha karibuni tu katika ubora wao na ni mara 5 tu kwenye History yao. Ukitumia kigezo hicho basi AC Millan mara 7 ni league bora ya pili duniani sio EPL.Mkuu mbona hili suala liko wazi? Sielewi tunabishana nini. Kuanzia Europa League mpaka UCL kote timu za La Liga ndio zinaongoza kubeba makombe. Sasa wewe unataka ubora gani?
Kwa wakati ananunuliwa yes? kuna mtu alilalamika wakati analipiwa pesa.Kwa hiyo kuuzwa ghali ndio ubora? Kwa akili yako Harry Maguire ni bora zaidi ya Diaz wa Man City kwa kuwa alinunuliwa bei ghali zaidi?
Kwani Man United au Liverpool wamekatazwa kushinda zaidi ya hayo makombe waliyoshinda? Hiyo ni hoja dhaifu kuwahi kutokea katika mpira. Na vipi kuhusu Europa, huko wametawala Sevilla, Atletico na VillarealNadhani ungesema Real Madrid usiseme team za la liga sema Real Madrid hilo wala halina ubishi ila ukiongelea kwa team ni EPL wametoa washindi tofauti tofauti sio mmoja Liverpool, Man u, Chelsea, Nothigham Forest, Aston Villa hawa wote nyakati tofauti wameshinda kwa La Liga hakuna team zaidi ya Real na Barca, na Barca ni katika kipindi cha karibuni tu katika ubora wao na ni mara 5 tu kwenye History yao. Ukitumia kigezo hicho basi AC Millan mara 7 ni league bora ya pili duniani sio EPL.
hebu kaangalie head to head vizuri acha ubishi bila kuwa na facts. Real Madrid ni wakubwa ki history ulaya kwenye CL ukiondoa real hakuna mtu La liga. Nenda katizame mechi ngapi La liga team wamekuta na EPL na status zake.Kuwa attractive sio kuwa bora. Na ndio maana zinapigwa zikikutana na wababe Ulaya
Sasa mbona nguvu nyingi unatumia si uangalie star times La liga issue iko wapi? waacha watu wale burudani EPL wewe baki na ubora hakuna shida.Kwani Man United au Liverpool wamekatazwa kushinda zaidi ya hayo makombe waliyoshinda? Hiyo ni hoja dhaifu kuwahi kutokea katika mpira. Na vipi kuhusu Europa, huko wametawala Sevilla, Atletico na Villareal
Mkuu tukubaliane kutokukubaliana, hata mimi naangalia sana EPL kuliko La Liga lakini nina uelewa kuwa La Liga ni bora zaidi. Haihitaji nguvu nyingi kulitambua hilo, wala tusipofushwe na mahaba tuliyonayo kwa EPL.Sasa mbona nguvu nyingi unatumia si uangalie star times La liga issue iko wapi? waacha watu wale burudani EPL wewe baki na ubora hakuna shida.
Kampuni ya Apple sawa na Samsung, Unajuwa EPL nini nini au La liga? hizi ni kampuni na shareholders ni clubs thamani yako ndio inafanya kampuni kuwa na thamani huwezi kuwa na thamani kama wewe halafu kampuni isiwe na thamani haya mambo yanaenda pamoja Real na Barca wana thamani sana ila wengine kwenye league hawana huku EPL mpaka anayeshuka daraja thamani yake kubwa watu wanabeba mpaka Million 100 na anashuka daraja.Kwa hiyo kuuzwa ghali ndio ubora? Kwa akili yako Harry Maguire ni bora zaidi ya Diaz wa Man City kwa kuwa alinunuliwa bei ghali zaidi?
Real Madrid ni bora sio la Liga, PSG bora lakini sio Ligue 1, Bayern ni bora lakini sio Bendesliga ila EPL ni bora kama league.Mkuu tukubaliane kutokukubaliana, hata mimi naangalia sana EPL kuliko La Liga lakini nina uelewa kuwa La Liga ni bora zaidi. Haihitaji nguvu nyingi kulitambua hilo, wala tusipofushwe na mahaba tuliyonayo kwa EPL.
We jamaa unachekesha sana 😂😂 😂 . Anyways I rest my case. Kila mtu abaki na msimamo wake.Real Madrid ni bora sio la Liga, PSG bora lakini sio Ligue 1, Bayern ni bora lakini sio Bendesliga ila EPL ni bora kama league.
Hizo pesa na hiyo thamani kubwa zinawasaidia nini kwenye UEFA? Bado hujajibu hii hoja.Kampuni ya Apple sawa na Samsung, Unajuwa EPL nini nini au La liga? hizi ni kampuni na shareholders ni clubs thamani yako ndio inafanya kampuni kuwa na thamani huwezi kuwa na thamani kama wewe halafu kampuni isiwe na thamani haya mambo yanaenda pamoja Real na Barca wana thamani sana ila wengine kwenye league hawana huku EPL mpaka anayeshuka daraja thamani yake kubwa watu wanabeba mpaka Million 100 na anashuka daraja.
Angalia Barca ndio mshindi wa pili la Liga alichofanywa CL na European league haya hayawezi kufanyiwa Liver wa pili au Chelsea wa 3. Kumbuka Real alivuka mechi hizi katika home and away lakini alipoteza mechi mbili alichocheza na City na Chelsea lakini alishinda sababu ya away goals kama kwa PSG. Ila ukitoa Real ambaye Barca wa pili kwenye league sote tunajuwa kiwango cha Barca wanatia huruma kwa kiasi kikubwa tu.Mkuu tukubaliane kutokukubaliana, hata mimi naangalia sana EPL kuliko La Liga lakini nina uelewa kuwa La Liga ni bora zaidi. Haihitaji nguvu nyingi kulitambua hilo, wala tusipofushwe na mahaba tuliyonayo kwa EPL.
Mimi naongelea EPL wewe uko UEFA sasa miaka 4 nyuma nani katawala UEFA au umesahau.Hizo pesa na hiyo thamani kubwa zinawasaidia nini kwenye UEFA? Bado hujajibu hii hoja.







Timu za EPL zikikutana na timu kutoka La Liga,timu za EPL chaliii mara nyingi.Timu za EPL zimeshindana mara ngapi huko Europe League
ENDELEA KUJICHANGANYA.Humjui president wa La liga? kazi ipo. Unawezaje kuwa mzuri lakini huvutii lakini mbaya unavutia mbona unajichanganya. Mzuri lazima avutie
Tofauti na nilichoulizaNdani ya miaka 5
EPL kabeba UCL 2
Spain UCL 2
Germany UCL 1
Itakua huangalii la liga,game ya Newcastle na wolves Ina ladha kuliko game ya Madrid na valenciaHicho ni kisingizio tu mkuu, ukweli ni kuwa ligi ya Uingereza ni overrated. Haina huo ubora inaosemekana inao