La Liga ni bora kuliko EPL

La Liga ni bora kuliko EPL

Na wewe unasema la liga ni bora kuliko epl[emoji3][emoji3].

Haya bna wacha kila mtu abaki na yake, hatufiki muafaka hapa mkuu.
La Liga ni ligi bora kuliko EPL. Wenye kuujua mpira wanaelewa hivyo. Usiendeshwe na mahaba uliyonayo kwa EPL. Kila mtu hapa anafuatilia zaidi EPL lakini ukweli mchungu ni kuwa EPL iko chini ya La Liga kwa ubora.
 
Hata ligi ya Ubelgiji ina ushindani mkubwa mno.
[emoji23][emoji23] hawatakuelewa hawa watu. Wameng'ang'ania ushindani wakati hauwasaidii kitu. Wakienda kwenye michuano ya wababe Ulaya wanabondwa.
 
Nimetoka kucheki rekodi hapa kutoka mwaka 2000.
Valencia kachukua mara 2
Atletico kachukua mara 2

Kwa hiyo misimu yote karibu 20 barca na madrid hawajachukua mara 4 tu nyingine zote 16 ni hizo timu 2 kupokezana tu.

Epl kuanzia 2000 waliochukua ni hawa
Man u kachukua, Arsenal kabeba, Leicester kabeba, chelsea kachukua, liver kabeba , man city kabeba. Timu 6 zote lakini hiyo ligi yako ni timu 2 tu zinapokezana.

Si ajabu msimu ujao timu ikaibuka epl na ikachukua ubingwa lakini sio kwa hao watawala wawili.
@nyerere
dos.2020 nafikiri umeeleweshwa vizuri apo juu [emoji115][emoji115]
 
Nimetoka kucheki rekodi hapa kutoka mwaka 2000.
Valencia kachukua mara 2
Atletico kachukua mara 2

Kwa hiyo misimu yote karibu 20 barca na madrid hawajachukua mara 4 tu nyingine zote 16 ni hizo timu 2 kupokezana tu.

Epl kuanzia 2000 waliochukua ni hawa
Man u kachukua, Arsenal kabeba, Leicester kabeba, chelsea kachukua, liver kabeba , man city kabeba. Timu 6 zote lakini hiyo ligi yako ni timu 2 tu zinapokezana.

Si ajabu msimu ujao timu ikaibuka epl na ikachukua ubingwa lakini sio kwa hao watawala wawili.
Sahihi kabisa
 
Ni liver pekee ndo imemshinda.

Na kama kigezo ni UEFa bado epl ni bora coz timu zake 4 zimebeba hilo kombe, haya huko la liga ni timu ngapi kwenye hiyo ligi zimebeba UEFA?? Jibu ni timu mbiliii tuu

Nshakwambia hiyo ligi ina timu 2 bora ila sio ligi bora kijana, elewa hilo.
Nadhani wewe ni shabiki wa barca huwa ni wabishi sana nyie [emoji3][emoji3]
Hawawezi kukuelewa fans wa barcelona
 
Huo ushindani unazisaidia nini timu za EPL? Mbona zikikutana na timu za La Liga huwa mara nyingi zinapigwa?
Unaelezea matokeo ya ushindani au ubora wa ligi? Elewa kwanza maana ya ligi, au badili heading uweke iendane na maelezo. Uzi wako mwenyewe unakuchanganya!
 
Hata ligi ya Ubelgiji ina ushindani mkubwa mno.
Umesema la liga haifuatiliwi, sasa hata hiyo ligi ya Belgium haifuatiliwi pia. Tukizifuatilia pengine huenda tunaweza kubaini ya Belgium ndo bora zaidi!
 
La Liga ni ligi bora kuliko EPL. Wenye kuujua mpira wanaelewa hivyo. Usiendeshwe na mahaba uliyonayo kwa EPL. Kila mtu hapa anafuatilia zaidi EPL lakini ukweli mchungu ni kuwa EPL iko chini ya La Liga kwa ubora.
Ubora gani mkuu, weka facts sio janjajanja za timu moja.
Yaani timu moja inaibeba ligi nzima.
Acheni uzwazwa basi mashabiki wa barca na madrid.
 
@nyerere
dos.2020 nafikiri umeeleweshwa vizuri apo juu [emoji115][emoji115]

Fernando Jr Vishu Mtata


Kwa kigezo cha Takwimu zenu toka 2000 Epl timu 6 zimebeba kombe, La Liga timu 4 zimebeba kombe, Serie A timu 5 zimebeba kombe, Ligue One timu 8 zimebeba kombe, na Bindesliga timu 5 zimebeba kombe.

Kwahiyo kwa mujibu ya Logic yenu French League ndio ligi bora na yenye ushindani zaidi mana ndio waliotoa mabingwa wengi zaidi kwa hicho kipindi.
 

Fernando Jr Vishu Mtata


Kwa kigezo cha Takwimu zenu toka 2000 Epl timu 6 zimebeba kombe, La Liga timu 4 zimebeba kombe, Serie A timu 5 zimebeba kombe, Ligue One timu 8 zimebeba kombe, na Bindesliga timu 5 zimebeba kombe.

Kwahiyo kwa mujibu ya Logic yenu French League ndio ligi bora na yenye ushindani zaidi mana ndio waliotoa mabingwa wengi zaidi kwa hicho kipindi.
Waamboe hao
 

Fernando Jr Vishu Mtata


Kwa kigezo cha Takwimu zenu toka 2000 Epl timu 6 zimebeba kombe, La Liga timu 4 zimebeba kombe, Serie A timu 5 zimebeba kombe, Ligue One timu 8 zimebeba kombe, na Bindesliga timu 5 zimebeba kombe.

Kwahiyo kwa mujibu ya Logic yenu French League ndio ligi bora na yenye ushindani zaidi mana ndio waliotoa mabingwa wengi zaidi kwa hicho kipindi.
Umewaumbua mkuu, hawatarudi tena 😂😂
 

Fernando Jr Vishu Mtata


Kwa kigezo cha Takwimu zenu toka 2000 Epl timu 6 zimebeba kombe, La Liga timu 4 zimebeba kombe, Serie A timu 5 zimebeba kombe, Ligue One timu 8 zimebeba kombe, na Bindesliga timu 5 zimebeba kombe.

Kwahiyo kwa mujibu ya Logic yenu French League ndio ligi bora na yenye ushindani zaidi mana ndio waliotoa mabingwa wengi zaidi kwa hicho kipindi.
Nafikiri Vishu Mtata ametoa hiyo kama sifa moja tu, kati ya sifa kadhaa nawe umeibeba kama vile kamaanisha ndo kigezo pekee cha ubora wa league. Hizo takwimu umezitaja za league 1 ni nzuri.

Lakini ishu nyingine, angalia huko akina PSG na Bayern Munich kama ilivyo kwa Real Madrid na Barcelona, wameshajimilikisha hayo makombe kiasi cha kukera! Nani anayependa burudani atafuatilia league ilhali anajua bingwa wa msimu ni nani kabla hata ya msimu kuanza?
 
Humjui president wa La liga? kazi ipo. Unawezaje kuwa mzuri lakini huvutii lakini mbaya unavutia mbona unajichanganya. Mzuri lazima avutie
Mfano mzuri ni real madrid msimu huu,
Amekua mzuri Sana na kutwa mataji, ila uchezaji wake kiukweli hauvutii
 
Nafikiri Vishu Mtata ametoa hiyo kama sifa moja tu, kati ya sifa kadhaa nawe umeibeba kama vile kamaanisha ndo kigezo pekee cha ubora wa league. Hizo takwimu umezitaja za league 1 ni nzuri.

Lakini ishu nyingine, angalia huko akina PSG na Bayern Munich kama ilivyo kwa Real Madrid na Barcelona, wameshajimilikisha hayo makombe kiasi cha kukera! Nani anayependa burudani atafuatilia league ilhali anajua bingwa wa msimu ni nani kabla hata ya msimu kuanza?

Mkuu ndani miaka mitano (5) City amebeba taji mara 4. Je wao pia hawajajimilikasha?
 
Back
Top Bottom