La liga tittle race

La liga tittle race

Nnachokiona zizou anatafuta kufukuzwa.

Game Muhim Kama ya leo, unaingiza vitoto unawaacha kina Ramos nje.
 
Atletico kakamatwa kila idara na Valladolid...
 
Dkk ya 40 Madrid hawajapiga shuti hata mojA[emoji26]
Screenshot_20210522-194110.jpg
 
Hizi timu kama zinabet yaani mwenzio unayekimbizana nae kwenye ubingwa anafungwa dakika ya 18 nawewe pia unaruhusu goli dakika ya 20
 
Wewe ndio kama mimi. Timu imechoka sana mwishoni. Nina wasiwasi na Match ijayo dhidi ya Valladolid kwakuwa Valladolid yupo nyumbani na anapambana asishuke daraja kwakuwa anashika nafasi ya 19 na yupo home. Lakini pia Real Madrid wanakazi watakapo kutana na Villarreal.
Barcelona ndio kakosa rasmi leo hata angeshinda isingesaidia kwakuwa tayari ATM wameshinda.
Nililiona hili jambo
 
Back
Top Bottom