La liga tittle race

Nnachokiona zizou anatafuta kufukuzwa.

Game Muhim Kama ya leo, unaingiza vitoto unawaacha kina Ramos nje.
 
Atletico kakamatwa kila idara na Valladolid...
 
Dkk ya 40 Madrid hawajapiga shuti hata mojA[emoji26]
 
Leo ndio leo asiye na mwana abebe jiwe, iwe isiwe lazima kombe lichukuliwe na hii, ni mechi kali kati ya timu ya kifo na timu ya uhai..

Atletico
Real
Daahh mambo bado magumu hapa, Real msiniangushe
 
Hizi timu kama zinabet yaani mwenzio unayekimbizana nae kwenye ubingwa anafungwa dakika ya 18 nawewe pia unaruhusu goli dakika ya 20
 
Nililiona hili jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…