Daahh, VAR imezinguaMadrid wamesawazisha huko
Limekataliwa la Real MadridWote wamesawazisha, bado ngoma zito hapa
Binafsi nataka ATM achukueDaahh, VAR imezingua
Ngoja tuoneBinafsi nataka ATM achukue
Labda NDOO ya maji ya kuogea..Hawezi kushinda kwa timu inayopigania kutoka kushuka daraja.
Ndoo ni yetu Real Madrid mara ya pili mfululizo
Akili yake ni kama anatamani juve vile..Nnachokiona zizou anatafuta kufukuzwa.
Game Muhim Kama ya leo, unaingiza vitoto unawaacha kina Ramos nje.
Walipambana Sana yani Leo cjui Kama kocha wao atapata usingz Kwa furaha aliyonayoAlistahili kwakweli.
Thanks ATM
Hata mimi kwakweliKidoogo kwangu Wamefuta machozi ya simba leo