Unapolinganisha ligi tunaangalia content ya hizo ligi,Barca inatoka La Liga na Chelsea inatoka EPL.
Kuna tofauti kubwa sana kwenye perfomance timu kwenye ya ligi ya nyumbani na kwenye mashindano kama UCL.Champions league ni mtoano wakati ligi unacheza na timu zote,mfano
Msimu uliopita Chelsea alishika nafasi ya 5 kwenye ligi lakini alikuwa bingwa wa UCL,hata Liverpool walivyochukua ubingwa 2007 kwenye ligi walishika nafasi ya 5.Chelsea alikuwa nafasi ya 5 alimtoa Barca ambaye alikuwa bingwa wa La Liga kwa hiyo last season EPL ilikuwa bora kuliko La Liga? Dortmund,ManCity walishinda domestic league lakini UCL walitolewa kwenye makundi
Italy na Germany wana uwezekano wa kuingiza timu mbili robo fainali(Juventus,Milan,Dortmund,Bayern),kwa hiyo Serie A & Bundesliga zitakuwa bora kuliko Laliga?