La mgambo limelia jamani natangaza sensa ya wanaume wasiopenda mawigi!


Tungekuwa karibu, ungeagiza soda bill kwangu. Bahati mbaya nyingine tena kwenye simu ya kiganjani hakuna sehemu ya kukong'oli 'thanks'. Nimebaki nahangaika tu.
 
kimsingi huko ni kutojitambua kwa wanawake husika na kukosa kujiamini . anahisi bila wigi hawi yeye. nawaheshimu sana wakinadada wanaojitambulisha ktk maumbile yao halisi mfano mzuri marehemu Brenda Fassie, NAWASIHI WAKINADADA WAZOEE MAUMBILE YAO JAMII PIA ITAWAZOEA NA KUONDOKANA NA UTUMWA WA KUJITAKIA.
 
Mimi hata minywele yao hii ya kutengeneza siipedi, lkn kinamama wanasikia! Utaambiwa "yaani hutaki nipendeze?"
Amini usiamini manamke wa kiafrika akiwa na nywele zake za asilu anapendeza mno! Basi tu wabishi!
 
Beyonce na bongo wapi na wapi, kwanza baadhi ya wanawake wakibongo hawajui jinsi ya kuya-mantain hayo mawigi jasho na joto la bongo yeye yuko nalo tu ukisimama nae karibu hiyo harufu inayotoka hapo ni kama vile mchanganyiko wa acid sijui na nini.
 
Naanza mimi ni wa kwanza. Mawigi yanani-put off sana. Kama na wewe hupendi mke/gf wako avae wigi tafadhali niunge mkono. Natanguliza samahani kwa akina dada mnaovaa mawigi. Msinishambulie mtoto wa mwenzenu. Sijazoea kelele.


Halaf kuna wengine wanavaa mawigi ya kitani, kwenye mchezo ukijifanya una mzuka wa kuvuta manywele yanakukatilia mbali vidole, yalaaniwe mawigi.


Mi napenda mwanamke awe nywele zake asilia, tena nywele fupi
Short haircut.
Sio unamwambia twende kuoga halafu anakwambia yeye kichwa chake hakitakiwi kuloa maji
Nakereka balaa

Aisee naomba niwe wa kwanza kwenye hiyo sensa, napinga miwigi ya aina yoote na minywele artificial! Hiyo midude inaniput off ile mbaya! Yaani utakuta inachomachoma hivi! huwa nahisi kila kitu feki! .


..achilia wigi, hata anayesukia rasta, sijui human hair bla blah, wote wananikera!
pheeww,...

acha niendelee kushabikia wenye Orijino singa na kipilipili kama cha Lizzy!


cyakubali pia.


Keep it up; namshukuru aliyeanzisha thread hii! Itasaidia sana kina dada wengi! .


Yaani nachukia mawigi mno, inabidi tupange siku kila mwanamke anayevaa anavuliwa hadharani..


Aisee mi nimempiga stop demu kuvaa hayo madude,uzuri wa mwanamke natural hair.lakini kazi ipo kwa wadada wa kichaga

Wig mi kwa mtazamo wng ni ushamba, love your naturality you wil be beautiful.


Hey! Sensa huwa hsitangazwi Bali hufanyika! Sifagilii wigi wala nywele za marehem ....acheni nywele zenu ikiwezekana mzichome tu.



Kweli kazi ipo.....
 
Siyapendi kabisa, Ila jamani kuna wanawake wanatia aibu, unakuta wigi lenyewe chafu,na rangi ya mvaaji haviendani kabisa. Ni kero
 
Code:
Mimi ni mwanamke ila kuna wanawake wengine wanakera yaani wanavaa mawigi  ambayo hayaendani na rangi, sura na mengine hayajashonewa vizuri  ilimradi tu kafunika nywele halisi..mawigi mengine ya ki-blonde na  yamefika hadi kiunoni, mweeh!!...halafu tatizo lingine ni kuwa wengine  wanavaa/shoea mawigi kumbe nywele za ndani zipo kiholela yani wigi  likidondoka aibu yao..kuna wanawake wengine mawigi yanawatoa vile vile..
Nashukuru kuwa na nywele fupi na sijawahi kuvaa wigi, kwanza joto kali dar..
Forget wigs and just be yourself and we will love you even moreeeeeeeeeee
 


You guys as if you mean it....lol
 


1. Kama mamsapu wako havai - sasa wakivaa wengine inakuuma nini??? Kwanza huko kunogewa hadi kisogoni kwa ajili ya nywele - hebu elaborate kidogo - manake hatuelewi inakuwaje mtu kunegewa na nywele natural???

2. Wigs/Extensions/Weavs/Braids/ ni biashara zimewekwa madukani - na inabidi ziuzwe - na wateja wengi ni wanawake - ila nijuavyo nchi nyingine hata wanaume ni wateja wa hivyo vitu

3. Ni kweli wanawake wanvaa wigs - lakini ni hali ya kutaka kuwa na styles tofauti za nywele

SWALI NA WALE WANAUME WANAOSUKA NYWELE - VIPI HAWAKUPUT-OFF??

nauliza tu na kutoa mawazo - nisieleweke vibaya PLEASE
 
Si unaona mwenyewe jinsi lilivyonikubali..

wewe kama umependeza sawa,lakini hiyo picha yako hujapendeza.mimi naona bora mumuige DENA AMSI.style ya dena naipenda pia.ficha nyele hizo kwa kuvaa kilemba kama unaona nywele zako huzitaki zionekane.lakini sura yako nzuri.unalipa.mia.
 
wewe kama umependeza sawa,lakini hiyo picha yako hujapendeza.mimi naona bora mumuige DENA AMSI.style ya dena naipenda pia.ficha nyele hizo kwa kuvaa kilemba kama unaona nywele zako huzitaki zionekane.lakini sura yako nzuri.unalipa.mia.
Asante sana kwa compliment!!.. mia
 
sijui sensa imefikia percent gani... Naomba nihesabiwe kama nisiyesapoti mawigi

To our sisters, you may not need them, hata vipilipili vinawekwa dawa tena vikiwa vifupi na kupendeza sana... there is nothing attractive like a natural stuff, meaning no sugar added!!!

Kuna wakati yanadondoka basi inakua tabu hicho kichaka ndani yake

CONFIDENCE YA MTU CAN AS WE JUDGED NA ANAVYOJIKUBALI MWENYEWE:dance::A S 103::A S 103::A S 103::A S 103:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…