Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maza nchi imemshinda. Hata chama kimepoteza uelekeo kisaikologia.Kama habari hizi zinazotufikia ni kweli kuwa haya ndiyo yaliyojiri Mwanza:
View attachment 1861723
basi mnakoipeleka hii nchi siko.
Kwa vile ni kinyume cha katiba na sheria zote ndani ya nchi hii, itoshe kuwataka kuirekebisha hali hii bila kuchelewa na kuwachukulia hatua wote wanaohusika, kama nyie siyo sehemu ya kadhia hii:
1. Kuyafanya hayo yatauweka huru utawala wenu kuwa ni wa haki.
2. Kuyabeza na kuendeleza kushupaza shingo zenu, kutaashiria kuwa mmedhamiria kututawala kidhwalimu.
"La mwanzo tegemeeni uungwaji mkono mkubwa na wapendwa haki wote. Ila hili la mwisho halitakubalika."
Ninawasilisha.
Mbowe anaongea ujinga wa Chanjo iwe lazma kwa wote. Nani kamwambia tunataka Chanjo zao. Ye si amechomwa akae atulie
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Imeandikwa jino kwa jino, upanga kwa upanga kwanini nyie CHADEMA hamuelewi maandiko.Kama habari hizi zinazotufikia ni kweli kuwa haya ndiyo yaliyojiri Mwanza:
View attachment 1861723
basi mnakoipeleka hii nchi siko.
Kwa vile ni kinyume cha katiba na sheria zote ndani ya nchi hii, itoshe kuwataka kuirekebisha hali hii bila kuchelewa na kuwachukulia hatua wote wanaohusika, kama nyie siyo sehemu ya kadhia hii:
1. Kuyafanya hayo yatauweka huru utawala wenu kuwa ni wa haki.
2. Kuyabeza na kuendeleza kushupaza shingo zenu, kutaashiria kuwa mmedhamiria kututawala kidhwalimu.
"La mwanzo tegemeeni uungwaji mkono mkubwa na wapenda haki wote. Ila hili la mwisho halitakubalika."
Ninawasilisha.
Imeandikwa jino kwa jino, upanga kwa upanga kwanini nyie CHADEMA hamuelewi maandiko.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Samia is as weak as her eyes show,Kama habari hizi zinazotufikia ni kweli kuwa haya ndiyo yaliyojiri Mwanza:
View attachment 1861723
basi mnakoipeleka hii nchi siko.
Kwa vile ni kinyume cha katiba na sheria zote ndani ya nchi hii, itoshe kuwataka kuirekebisha hali hii bila kuchelewa na kuwachukulia hatua wote wanaohusika, kama nyie siyo sehemu ya kadhia hii:
1. Kuyafanya hayo yatauweka huru utawala wenu kuwa ni wa haki.
2. Kuyabeza na kuendeleza kushupaza shingo zenu, kutaashiria kuwa mmedhamiria kututawala kidhwalimu.
"La mwanzo tegemeeni uungwaji mkono mkubwa na wapenda haki wote. Ila hili la mwisho halitakubalika."
Ninawasilisha.
Wanafikiri Al-shabab, Boko haraam, na uasi mwingine uliumbwa kutoka mbinguni. Haya ndiyo mazingira ya kuzaliwa kwa uasi.Hapo hakuna nini wala nini ni maagizo toka juu kuanzia na huyo unayemwita mama japo sina uhakika kama alikuzaa, mpaka na serikali yote. Logic ni ndogo tu hawataki katiba itakayorudisha mamlaka na kumlinda mwananchi.ndio maana wanafanya wanavyotaka mfano watu wanalalamika tozo na Kodi za wizi waziri anajibu shit na hakuna wa kufanya kitu ila kuna siku itafika watajua Tanzania hakuna amani ila ni utulivu tu hapo Sudan maandamano yalianza kama utani watu wanalalamika bei ya mkate lakini kilichotokea serikali ikaanguka
Mungu mkinge Freeman na maovu yote yanayomsibu. Mwangazie nuru na umpe ushujaa wa kushinda majaribu haya.Kama habari hizi zinazotufikia ni kweli kuwa haya ndiyo yaliyojiri Mwanza:
View attachment 1861723
basi mnakoipeleka hii nchi siko.
Kwa vile ni kinyume cha katiba na sheria zote ndani ya nchi hii, itoshe kuwataka kuirekebisha hali hii bila kuchelewa na kuwachukulia hatua wote wanaohusika, kama nyie siyo sehemu ya kadhia hii:
1. Kuyafanya hayo yatauweka huru utawala wenu kuwa ni wa haki.
2. Kuyabeza na kuendeleza kushupaza shingo zenu, kutaashiria kuwa mmedhamiria kututawala kidhwalimu.
"La mwanzo tegemeeni uungwaji mkono mkubwa na wapenda haki wote. Ila hili la mwisho halitakubalika."
Ninawasilisha.