Poleni sanaLeo nilikuwa. Naaga jirani yangu mmoja pale kawe
Kijana alikuwa mpambanaji sana san...
💯 mkuuuuuuKamwe usiwe sehemu ya ugomvi wowote maeneo ya bar, pub, club, lounge au grocery.
N 2011 niliwahi acha gari nkakamata pkpk nafjka kawe nakumbuka nilikuwa na gari acha kabisaaaaaa nkairudiaàà...nafika nakuta madamu kila sehem naambiwa na mlinzi kafa mtu hapa woiiKamwe usiwe sehemu ya ugomvi wowote maeneo ya bar, pub, club, lounge au grocery.
Sasa unakuta rafiki mmetoka wote ana ugomvi na jamaa!Hapo panatokea ugomvi unafanyeje?Kamwe usiwe sehemu ya ugomvi wowote maeneo ya bar, pub, club, lounge au grocery.
Pamoja na kueleza kisa kama unakimbizwa, lakini maeneo ya kuvinjari unakutana na watu usiowafahamu.Leo nilikuwa naaga jirani yangu mmoja pale Kawe. Kijana alikuwa mpambanaji sana sana. Mwisho akaenda kupata mbili tatu La Rocka bar Kaw...
Shida Amisi yakipanda watu tunaanza kujibujibu!Pamoja na kueleza kisa kama unakimbizwa, lakini maeneo ya kuvinjari unakutana na watu usiowafahamu.
Bora kunywa zako na kuondoka kimya kimya.
Watu wanatembea na bisibisi.
Noma sana Mkuu, mim nakumbuka miaka ya 2014 tulileta shida ya kijinga sana pale coco kisa mwanetu mmoja tuliyetoka naye chuga kashika manzi wa watu ugomvi ukaanza.Rose garde
N 2011 niliwahi acha gari nkakamata pkpk nafjka kawe nakumbuka nilikuwa na gari acha kabisaaaaaa nkairudiaàà...nafika nakuta madamu kila sehem naambiwa na mlinzi kafa mtu hapa woii
Picha ya tukio tafadhali, tutakuaminije?Leo nilikuwa naaga jirani yangu mmoja pale Kawe. Kijana alikuwa mpambanaji sana sana. Mwisho akaenda kupata mbili tatu La Rocka bar Kawe
Kufika akaja Kijana mwingine wakanza pishana maneno. Kijana akakasirika akaenda kuchukua kisu akampa ya moyo
Bra bye-bye
Rip soldier
Bar please tujitahidi jaman tuongeze ulinzi tutapaogopa
Ni kwenda kumtoa kwenye ugomvi tu Mkuu, mazingira ya hivi ya ugomvi yalikuwa nusu yatuponze miaka ya 2014. Hadi leo siwezi kabisa jihusisha na ugomvi.Sasa unakuta rafiki mmetoka wote ana ugomvi na jamaa!Hapo panatokea ugomvi unafanyeje?
Mimi yamenifanya niache pombe kabisa! Noma sana.Ni kwenda kumtoa kwenye ugomvi tu Mkuu, mazingira ya hivi ya ugomvi yalikuwa nusu yatuponze miaka ya 2014. Hadi leo siwezi kabisa jihusisha na ugomvi.
Fujo kwenye pombe huwa inaishia na majuto tu.Mimi yamenifanya niache pombe kabisa! Noma sana.
Yeye ndie kiboba na Wewe ndio mwenyeji wakeNamwacha