Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Hofu mbaya, lazima ukimbie!Nakumbuka siku moja nipo lodge nimenunua lager yangu moja nakunywa mdogo mdogo, ghafla nasikia sauti nakufa nakufa, kumbe mwanaume mmoja (Mme) alikuwa anamkimbiza mke ambaye alikuwa ameonekana kutoka kwenye ile lodge. Hivyo baada ya kukimbizwa yule mwanamke akawa amerudi pale lodge, sasa wakanikuta nakunywa kinywaji. Kwa mshituko na Mimi nikaanza kukimbia maana yule jamaa alikuwa ameshika chupa ya bia ambayo aliipasua. Jamaa baada kuona nimekimbia akadhani ndiye mtu niliyekuwa na mke wake, akasema leo lazima tuuae. Nilijukuta nimeruka juu ya ukuta wa Lodge nikiwa na vest na boxa
Na mtungi ukikolea huwa hatutaki unyongeShida Amisi yakipanda watu tunaanza kujibujibu!
Surely . Umeongea point muhimu sana. Kuna jamaa alienda kuamua ugomvi wa jamaa yake. Ile oya oya ya kununua ugomvi usiomhusu , alikutana na kisu cha shingo ile paap, aliyumba mara tatu tu ikawa imeisha hiyo. Ogopa damu ilitoka chwaaa kwa presha kama vile ng'ombe anayekamuliwa maziwa . Ni hatr sanaKamwe usiwe sehemu ya ugomvi wowote maeneo ya bar, pub, club, lounge au grocery.
yeah yaani unakuta vi windhoek vi2 au vi3 vimechangamsha damu kidogo tayari unajiona mayweather. Wee! Unakufa vibaya sana asee!Na mtungi ukikolea huwa hatutaki unyonge
Shida huanzia hapo
Dah!...ungeuawa man.... hatari sanaNakumbuka siku moja nipo lodge nimenunua lager yangu moja nakunywa mdogo mdogo, ghafla nasikia sauti nakufa nakufa, kumbe mwanaume mmoja (Mme) alikuwa anamkimbiza mke ambaye alikuwa ameonekana kutoka kwenye ile lodge. Hivyo baada ya kukimbizwa yule mwanamke akawa amerudi pale lodge, sasa wakanikuta nakunywa kinywaji. Kwa mshituko na Mimi nikaanza kukimbia maana yule jamaa alikuwa ameshika chupa ya bia ambayo aliipasua. Jamaa baada kuona nimekimbia akadhani ndiye mtu niliyekuwa na mke wake, akasema leo lazima tuuae. Nilijukuta nimeruka juu ya ukuta wa Lodge nikiwa na vest na boxa
yaani unapotea kizembe yaani.Dah!...ungeuawa man.... hatari sana
ππππ kwamba ukienda bar unabeba cheti cha kipimo mfukoniItabidi ili unywe kilaji kuwe na uthibitisho wa daktari, Maana afya ya akili ni Janga!
Kiujumla tuwe tu makini tunapokunywa. Hao security men ni ngazi ya pili ya ulinzi ngazi ya kwanza ni wewe mwenyewe, pia licha ya ugomvi pia kuna masuala mengine kama unywaji uliopitiliza unaweza kukusababishia matatizoLeo nilikuwa naaga jirani yangu mmoja pale Kawe. Kijana alikuwa mpambanaji sana sana. Mwisho akaenda kupata mbili tatu La Rocka bar Kawe
Kufika akaja Kijana mwingine wakanza pishana maneno. Kijana akakasirika akaenda kuchukua kisu akampa ya moyo
Bra bye-bye
Rip soldier
Bar please tujitahidi jaman tuongeze ulinzi tutapaogopa
badala ya kusikitika nimecheka sanaNakumbuka siku moja nipo lodge nimenunua lager yangu moja nakunywa mdogo mdogo, ghafla nasikia sauti nakufa nakufa, kumbe mwanaume mmoja (Mme) alikuwa anamkimbiza mke ambaye alikuwa ameonekana kutoka kwenye ile lodge. Hivyo baada ya kukimbizwa yule mwanamke akawa amerudi pale lodge, sasa wakanikuta nakunywa kinywaji. Kwa mshituko na Mimi nikaanza kukimbia maana yule jamaa alikuwa ameshika chupa ya bia ambayo aliipasua. Jamaa baada kuona nimekimbia akadhani ndiye mtu niliyekuwa na mke wake, akasema leo lazima tuuae. Nilijukuta nimeruka juu ya ukuta wa Lodge nikiwa na vest na boxa