La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

Bila Shaka. Harakati zao huwa nazielewaga Sana. Ni watu flan hivi waliojichgulia life flan hivi la kipekee
 
Till death nitakuwa supporter pekee mwenye imani asilimia 100 na D. Trump. Anaposema atajenga ukuta kutenganisha US na Mexico anamaanisha. Kupitia mgongo wa wakimbizi, watukutu htr walioshindikana wanapenyezwa na serikali ya Mexico ili kuhakikisha vijana wa wamarekani wanaharibiwa na ngada.

Mexican cartels ndio wasambazaji hatari zaidi duniani wa Heroin, Cocain, mandrax, na kila aina ya sembe, na wanapenya boarders za US, kisha wanaanzisha street-rats na gangs, wanafanya wizi, ubakaji, utapeli, na kuuza unga wawaharibu kina Chris Brown na Lil Wayne.

D. Trump kawashtukia mapema sana, na sidhani kama kakurupuka from sleep. Hakuna chumba tena kwa Wamekiko kusambaza sembe USA ndani ya utawala wa huyu bwashee. Watafute kijiwe kingine tu, otherwise wataishia kunyonyolewa kama nguruwe.
Mkuu vipi road rats wa huku kwetu? Na wao wako katika "influence" ya Mexican cartels (as unga wao) ama ni local bangi za huku?
 
Mkuu the bold hao wafungwa wana uhusiano wowote na hayo magenge?????
Na vp baada ya kutoloka hali inakuaje huko mexico???
 
Back
Top Bottom