Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Trump ameletwa na Mungu kuiokowa Marekani, mashoga, magaidi na magenge ya dawa za kulevya watashughurukiwa ipasavyo, na waislamu waelewe wazi ukienda Roma uishi kama Waroma, Marekani ni Taifa la kikristo ukijijuwa wewe ni mwislamu na unataka kuishi Taifa la makafir ni lazima ufuate kile wanachotaka wao sawa na nchi za kiislamu zinavyowaradhimisha wasio waislamu kuvaa vilemba.Till death nitakuwa supporter pekee mwenye imani asilimia 100 na D. Trump. Anaposema atajenga ukuta kutenganisha US na Mexico anamaanisha. Kupitia mgongo wa wakimbizi, watukutu htr walioshindikana wanapenyezwa na serikali ya Mexico ili kuhakikisha vijana wa wamarekani wanaharibiwa na ngada.
Mexican cartels ndio wasambazaji hatari zaidi duniani wa Heroin, Cocain, mandrax, na kila aina ya sembe, na wanapenya boarders za US, kisha wanaanzisha street-rats na gangs, wanafanya wizi, ubakaji, utapeli, na kuuza unga wawaharibu kina Chris Brown na Lil Wayne.
D. Trump kawashtukia mapema sana, na sidhani kama kakurupuka from sleep. Hakuna chumba tena kwa Wamekiko kusambaza sembe USA ndani ya utawala wa huyu bwashee. Watafute kijiwe kingine tu, otherwise wataishia kunyonyolewa kama nguruwe.
Pamoja sana mkuu, shukrani..Mkuu The bold ahsante kwa uzi mzuri. Naomba uwe unanitag na mimi.
Miaka ya 80 kulikuwa na upinzani mkali kati ya athmani juma chama na zamoyoni mogela mpaka ikawa mtu akitaka kukusisitiza kitu uwe makini anakwambia chama na mogela .Kituko kilikuwa hivi mogela aliumia akaenda kutibiwa nje ya uwanja sasa yule chama akawa amesimama penye mstari wa chaki anamsubiri atibiwe warudi kuliendeleza mogela alifungwa bandeji kichwani na kurudi. Sasa hapa kwa Nifah nauona ukabaji huo kwa ukaribu sana.Mkuu nyie tukiwaacha free ni hatari tupu...ndio maana hakuna namna zaidi ya uonavyo [emoji4]
Kwema kabisa, asante Shem.
Bila shaka mkuu! Nitakutag..Nimgeni kwa uwanja huu Na naomba unitag plz coz kazi nimeipenda mno.
Hahahahahahahah.!! Daaaahh hatari sana..Miaka ya 80 kulikuwa na upinzani mkali kati ya a thamani juma chama na zamoyoni mogela mpaka ikawa mtu akitaka kukusisitiza kitu uwe makini anakwambia chama na mogela .Kituko kilikuwa hivi mogela aliumia akaenda kutibiwa nje ya uwanja sasa yule chama akawa amesimama penye mstari wa chaki anamsubiri atibiwe warudi kuliendeleza mogela alifungwa bandeji kichwani na kurudi. Sasa hapa kwa Nifah nauona ukabaji huo kwa ukaribu sana.
Kwakweli sijawahi kukaba kama nikabavyo sasa,nae ananipa sababu za kumkaba zaidi.Miaka ya 80 kulikuwa na upinzani mkali kati ya athmani juma chama na zamoyoni mogela mpaka ikawa mtu akitaka kukusisitiza kitu uwe makini anakwambia chama na mogela .Kituko kilikuwa hivi mogela aliumia akaenda kutibiwa nje ya uwanja sasa yule chama akawa amesimama penye mstari wa chaki anamsubiri atibiwe warudi kuliendeleza mogela alifungwa bandeji kichwani na kurudi. Sasa hapa kwa Nifah nauona ukabaji huo kwa ukaribu sana.
Kama kweli ni taifa la kikristo bila shaka itakuwa si huu ukristro wa kristro bali version ingine ya ukristo!Hakika Trump ameletwa na Mungu kuiokowa Marekani, mashoga, magaidi na magenge ya dawa za kulevya watashughurukiwa ipasavyo, na waislamu waelewe wazi ukienda Roma uishi kama Waroma, Marekani ni Taifa la kikristo ukijijuwa wewe ni mwislamu na unataka kuishi Taifa la makafir ni lazima ufuate kile wanachotaka wao sawa na nchi za kiislamu zinavyowaradhimisha wasio waislamu kuvaa vilemba.
Ila na wewe cha moto unakiona jinsi ninavyokukalia kooni... Tumekutana wakabaji hahahahahahahahKwakweli sijawahi kukaba kama nikabavyo sasa,nae ananipa sababu za kumkaba zaidi.
Ni lazima nimkabe tu maana hakuna namna nyingine [emoji4] [emoji85]
Hahahahahaaaaa
Nipo kipenzi changuMrembo upo mida sana happy new year
Hahahahahaaaaa and I love it sweetheart [emoji8] [emoji8]Ila na wewe cha moto unakiona jinsi ninavyokukalia kooni... Tumekutana wakabaji hahahahahahahah
Mada anazoleta zinashawishi shetani kumpitia usipokuwa makini utakuja lialia hapa my dadaKwakweli sijawahi kukaba kama nikabavyo sasa,nae ananipa sababu za kumkaba zaidi.
Ni lazima nimkabe tu maana hakuna namna nyingine [emoji4] [emoji85]
Hahahahahaaaaa
Hapo familia inaweza kufa njaa kwa kukabana hahahahIla na wewe cha moto unakiona jinsi ninavyokukalia kooni... Tumekutana wakabaji hahahahahahahah
Siku ukitembelea mitaa yetu tutafutane muda sanaNipo kipenzi changu
Mihangaiko ya dunia inafanya tupishane tu my dear
Usijali kipenziSiku ukitembelea mitaa yetu tutafutane muda sana
Basi ndio hivyo bibie Chama na mogela tena.Kwakweli sijawahi kukaba kama nikabavyo sasa,nae ananipa sababu za kumkaba zaidi.
Ni lazima nimkabe tu maana hakuna namna nyingine [emoji4] [emoji85]
Hahahahahaaaaa