La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

kama serikali inashindwa kuzuia mauaji hayo basi kusiwepo na serikali.........wanalipa kodi na je wanaisaidia budget ya serikali?
Wanasiasa wanashindwa kuwagusa kwasababu wanasiasa wengi ni hizi Cartels ndio zimewaweka madarakani..
 
Wamewapa mwanya haya magenge yameota mizizi kiasi kwamba wao ndio kama serikali yenyewe..
Namuanga mkono kabisa Trump kwa uamuzi wa kujenga ukuta kutenganisha Mexico na Marekani. Hiyo mihadarati si ndio iliyowaharibu akina Chidbenz?
Big up sana mkuu kwa uzi huu.
 
bahati nzur uislamu huko haupo tungesikia ila wao kwa wao kimyaaaaa.
 
nikiwa waangalia hawa jamaa mabaki ya waitaliano sipati picha maana hawajui biashara nyingine tofauti na uhalifu..!!vinaroho mbaya sana hivi vijamaa,vinapenda starehe na ufuska balaa yaani maisha ya kipedeshee wakina ndama wakalale...asante sana the Bold njoo basi awamu nyingine story ya lafamilia na mbabe Pablo Escobar
 
Hakukuwa na ulazima wa kupost mguno wako.
Ungebaki nao ungepungukiwa nini?[emoji35]
Ni vile tu yameshaisha...
Na leo iwe mwisho [emoji135].
Sorry hny.! Au niongeze apology ya public juu ya ile niliyokuomba peke yetu..

Nisamehe mpenzi wangu, wewe unajua macho yangu vile yanakuona wewe pekee cheupe wangu..
Jioni nitarudi na kipande cha khanga ufurahi kipenzi changu... Usisahau kunikarangizia ule mnafu na chemsha kabisa zile Karanga.. Usiku mzima nitautumia "kukuomba msamaha"..

Nakupenda sana cheupe!
 
nikiwa waangalia hawa jamaa mabaki ya waitaliano sipati picha maana hawajui biashara nyingine tofauti na uhalifu..!!vinaroho mbaya sana hivi vijamaa,vinapenda starehe na ufuska balaa yaani maisha ya kipedeshee wakina ndama wakalale...asante sana the Bold njoo basi awamu nyingine story ya lafamilia na mbabe Pablo Escobar
Nilishaandika tayari kuhusu Pablo Escobar! Soma hapa Plata O Plomo: Ulimwengu Wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja
 
Back
Top Bottom