La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

Hivi hawa La Ultima Letra na ISIS nani ni hatari?
Hawa.noma aisee..kuna.video nimechek wanachinja kwa kutumia ile mashine ya kuangushia miti au kuchania mbao

Na.kama wanatumia kisu wanakata shingo mpaka itengan na kiwiliwi


Mkuu umechinja kuku wa speed kichwa kikawa kimetengana na.mwili alafu mwili bado unacheza na kichwa bado kinafunction


Ndio hawa jamaa wanachinja mtu anakuwa kichwa kule ,mwili kule ila bado analia na.kuunguruma.then wao wanacheka tuu


Nazan ukizoea kuchinja.binadam ni sawa na kuzoea kuchinja.kuku tuu

Ngoja nitajalibu kwa kaoge au james delicious...nawatenganisha kichwa na mwili fasta fasta.sanaa
 
Aisee Ila wanaua halafu wqnakua matajiri sana wa ngada
 
Mkuu uki
Till death nitakuwa supporter pekee mwenye imani asilimia 100 na D. Trump. Anaposema atajenga ukuta kutenganisha US na Mexico anamaanisha. Kupitia mgongo wa wakimbizi, watukutu htr walioshindikana wanapenyezwa na serikali ya Mexico ili kuhakikisha vijana wa wamarekani wanaharibiwa na ngada.

Mexican cartels ndio wasambazaji hatari zaidi duniani wa Heroin, Cocain, mandrax, na kila aina ya sembe, na wanapenya boarders za US, kisha wanaanzisha street-rats na gangs, wanafanya wizi, ubakaji, utapeli, na kuuza unga wawaharibu kina Chris Brown na Lil Wayne.

D. Trump kawashtukia mapema sana, na sidhani kama kakurupuka from sleep. Hakuna chumba tena kwa Wamekiko kusambaza sembe USA ndani ya utawala wa huyu bwashee. Watafute kijiwe kingine tu, otherwise wataishia kunyonyolewa kama nguruwe.
mkuu ukiweka ukuta unajisumbua tu hawa jamaa wanapita chini ya ardhi wana njia zao huko
 
Nimejiuliza kwamba hawa watu wanapokua wanauana kwanini jeshi la Mexico haliingilii manake liwaue wote??? Pili kama wana nguvu kiasi hicho pesa wanaweka wapi??? Pesa yao haiwezi kuzuiliwa ili wakose nguvu ya kujiendesha??? Na Je Huyu Rais wa Mexico ana nguvu yeyote dhidi ya hawa watu??? Na baadae nikajiuliza kwamba Trump ataweza kuwakabili??? Na Ukuta utasaidia lolote???
 
Aisee jamaa n shida nikajua labda wale Los pepes enz za pablo ndo walkua makauzu mbaya kumbe hawa n soo
 
Mkuu The bold unaroho mbaya sana mm ni mdau wako lakini upendi kunitag mademu unawapa kipaumbele sasa watafukia kaburi
 
Hawa.noma aisee..kuna.video nimechek wanachinja kwa kutumia ile mashine ya kuangushia miti au kuchania mbao

Na.kama wanatumia kisu wanakata shingo mpaka itengan na kiwiliwi


Mkuu umechinja kuku wa speed kichwa kikawa kimetengana na.mwili alafu mwili bado unacheza na kichwa bado kinafunction


Ndio hawa jamaa wanachinja mtu anakuwa kichwa kule ,mwili kule ila bado analia na.kuunguruma.then wao wanacheka tuu


Nazan ukizoea kuchinja.binadam ni sawa na kuzoea kuchinja.kuku tuu

Ngoja nitajalibu kwa kaoge au james delicious...nawatenganisha kichwa na mwili fasta fasta.sanaa
Kumbe hawa La Ultima Letra ni hatari zaidi ya ISIS. Bado najiuliza mbona ISIS ndio wanaoogopwa sana na Waamerika wakati jirani na kwao kuna watu hatari kama hawa La Ultima Letra.
 
MUENDELEZO TAYARI WAKUU.. POST # 1 UMEANZIA NILIPOANDIKA "SEHEMU YA PILI"


Nifah Divine... glory to yhwh BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea shareef conscious wambeke The Boss Deejay nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully Van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly the wolf everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope mamaafacebook II JEKI likikima Compact scorpio me G'taxi YNWA adna yuzo ntamaholo Otorong'ong'o naan ngik-kundie kandukamo1 AFRICA101 mwalidebe Kobe Blaki Womani kalendi savius The Great Emanuel r2ga Ntaluke.N. Transcend Msemachochote Mchumiajuone mwampepec MTOTO WA KUKU Fukara proto cute kawombe zinginary MLALUKO JR Vupu barafu BlackPanther Ntuzu Matola impongo ntamaholo Mkoroshokigoli Deadbody KING easy mahoza Msolo kkenzki deborah1 KIDUDU buffalo44 winlicious riziki Allys MUHUNZI Moses2015 nacktary Liuumi dochivele Renzo @barbers hmjamii mbere TATIANA famicho LUCKDUBE mwanadome Straton memphis ghazar Graph Theory Honey Faith Shunie Slave ddcmanesto zinginary pacesetter Nkanaga KOMUGISHA mikatabafeki johnsonmgaya lee empire wigo MJINI CHAI Asprin mtzmweusi Erasto kalinga Chrizo kichakaa man LULU bike FORTALEZA poleni shibumi ZE DONE umande Edger Sr sir joshua sammoo Roram Password Bavaria hambiliki mwanangu Asili100 Evarist Massawe nice1 Jumong S Rogie 1babake nasreen uberito baest dustless Kilemachocho Tumosa mtembea kwa miguu Debbs Joe scorpnose musacha shibumi seeker of knowledge Simuchi Veni Vidi Vici T-@mij TUJITEGEMEE abuu garcia Hon Nkundwe Festo Festo marion09 mike2k The dream bro kay vandelintz kirikou1 POINT LOAD lusaka city Dirham Rodcones bato MANCNOO multiphill90 GEORGE Dalali mwanamalundi90 MwaFreeca Roram Ta-kibombo troublemaker mambo KOMUGISHA calabocatz Papaa Azonto Msemachochote Mdomo bakuli tizo1 option dikembe iL Buono fakalava ABDUL KAREEM Gobe Justine Marack Goodluck Mchika MR UNINFORMED darcity nkasoukumu nG'aMBu thatonegAl kabanga MPARE KIBOGOYO Edward Sambai Rassa mnonje srinavas last king of uscoch proto cute Kennedy krava Rais2020 kbosho Mzee wa BsN sam2000 fuma 999 Bableee dawa yenu
sipo tena kwenye list ya tag,nahisi nina gundu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
View attachment 465387View attachment 465387

Please mod naomba uzifute hizi picha zimekuwa attached accidentally kwenye huu uzi wa The Bold
 
Back
Top Bottom