La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

Unapoona the bold anachelewa kutuletea updates ujue ni huyu mdada ndio chanzo. The bold akiwa anaandika huyu mdada anakuwa anamsumbua mara amshike mikono, mara amsumbue mabegani, mara amwambie muda wa kulala umefika.... Na ukimuudhi tu huyu mdada hata updates zenyew utazisikia bombani.... usimuudhi huyu mdada tafadhali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu umenichekesha sana.
Asante
 
Broh mbona kule kwenye 'chit chat' yetu sikuoni?
Kimya kimya au? [emoji6]
Mambo vipi sister langu la ukweli? Nilijoin J.mosi siku ile mikia wamepewa kichapo, sema kidogo muda nao unanibana.
 
Thank you Mkuu The bold, Hizi story zinanifanya nifikirie mbali sana hadi najiuliza ni kwanini mama zao na wahalifu hawakutoa mimba zoa hao majamaa, dah yani mtu anakua na ukatili utafikiri hajawahi kuona/ kuoneshwa upendo toka azaliwe. Ila ungeendeleza kidogo juu ya wale wafungwa waliotoroka juzi gerezani, inavyoenekana serikali haiwezi kuwakamata hao Los zetas.
 
Alaf kuna watu wanazngua humu: unakuta mtu ana-QUOTE Story yote alaf chini anaweka emoji tu..is it necessary to quote the whole story for no reason!??[emoji51] [emoji51] [emoji51]
 
Back
Top Bottom