La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

Wengine hatujui Wengine ni bahati mbaya
 
Mkuu Nifah kakako mie sipo kwenye Tag list hebu fanya makeke shemeji asinisahau kwenye nondo zake.

Cc The bold.
Tayari Mkuu! Nimekuongeza kwenye taglist..

Ila nahisi kama ulisha kuwepo siku nyingi tu.. Notification zinasumbua kufikia siku hizi.. Ila nimekuongeza tena anyways!!
 
Reactions: SDG
Ndo maana sie wenye akili zetu za kuwajua hawa jamaaa tunamshangaa mtu anaejigamba kuisambaratisha biashara hii... Haya Asante sana mkuu.. Mme halali wa Niffah
Inashangaza sana mtu kuanzisha vita na drug lords akitegemea kuwashinda kwa kutumia "press conference"..

Inashangaza sana..


Shukrani chief!
 
Yaani katika nchi nnazoziogopa Mexico inaongoza!!!
Asante kwa information nzuri mkuu
 
Daaaah Asante
 
Reactions: SDG
hii vita nilishawahi kuisikia sana lakini sikuijua kwa undani....asante the bold
 
As always Bruh,.Mtu wa matukio yenye visa vya Kipekee, Hawa Jamaa wabaya sana..
Ila nimepata kitu kimoja POSITIVE kutoka kwao Kwamba "MAANDALIZI na MIPANGO MIZURI NDIO MSINGI WA KUFANIKISHA SUALA LOLOTE"..
El chapo alikamatwa kipinDi flani akatoroka, wakamkamata tena..
Ss sijajua kwa Bwana Cardenas, perhaps naye Siku si Siku ukasikia kishakata Mitaa, N still hawa watu hata wakiingia Gerezani Bdo wanakua wanaogopwa SANA
 
Reactions: SDG
Tayari Mkuu! Nimekuongeza kwenye taglist..

Ila nahisi kama ulisha kuwepo siku nyingi tu.. Notification zinasumbua kufikia siku hizi.. Ila nimekuongeza tena anyways!!
Same to me,add in your list
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…