Ajali zipo ata kwenye ngono kuna ukimwi lakini watu hawawezi acha kugegedana eti kisa ukimwi nafikiri nimeelewekaKitendo cha Rayvanny na Diamond kufika mbeya kulifanya wana mbeya kuchanganyikiwa kwa furaha ila Baada ya diamond kuondoka kaacha maumivu.
Uwanja wa mbeya wa sokoine kwa sasa umeharibika sana, Timu ya mpira ya prisons mbeya ilitakiwa icheze na yanga katika uwanja huu ila haitawezekana badala yake timu hizo zitachezea uwanja wa iringa.
Mashabiki walijaa wengi sana uwanjani, wakati huo huo mashabiki zaidi ya elfu 5 walikuwa nje ya uwanja kwa kukosa nafasi.
Ni rekodi nzuri kwa diamond kujaza uwanja namna hii katika historia ya mbeya lakini kafanya shughuli za uwanja zisimame mwezi mzima kwa uharibifu uliofanywa na nyomi la mashabiki wake.
Masharti yakazwe katika kumkodisha diamond viwanja vya matamasha maana anajaza sana watu wanaopelekea uharibifu
Uchawi sio mpaka upae angani nimeaminiKitendo cha Rayvanny na Diamond kufika mbeya kulifanya wana mbeya kuchanganyikiwa kwa furaha ila Baada ya diamond kuondoka kaacha maumivu.
Uwanja wa mbeya wa sokoine kwa sasa umeharibika sana, Timu ya mpira ya prisons mbeya ilitakiwa icheze na yanga katika uwanja huu ila haitawezekana badala yake timu hizo zitachezea uwanja wa iringa.
Mashabiki walijaa wengi sana uwanjani, wakati huo huo mashabiki zaidi ya elfu 5 walikuwa nje ya uwanja kwa kukosa nafasi.
Ni rekodi nzuri kwa diamond kujaza uwanja namna hii katika historia ya mbeya lakini kafanya shughuli za uwanja zisimame mwezi mzima kwa uharibifu uliofanywa na nyomi la mashabiki wake.
Masharti yakazwe katika kumkodisha diamond viwanja vya matamasha maana anajaza sana watu wanaopelekea uharibifu
Ilikua ni mtu kushiba pilau kwao then apate tu nguvu kwenda uwanjani
Miguu yako tu!
mnyakyusa mstaarabu aliye baki ni mwakasege yule mwl wa dini tuwanyakyusa hatutak shida
mnyakyusa mstaarabu aliye baki ni mwakasege yule mwl wa dini tu
aaa wapina mimi nimebaki
kwani uwanja wanapewaga bure watu wanaofanya matamasha?
Muwe mnafikiria hata kidogo kidogo kama hamuwezi kufikiria kikubwa kikubwa [emoji45]
Na mimimnyakyusa mstaarabu aliye baki ni mwakasege yule mwl wa dini tu
aaa wapiNa mimi
aaa
aaa wapi