Mleta mada umeongea utumbo mtupu, Pep Alishinda Champion League 2011 wakati Toure tayari akiwa ameshamondoa Barcelona, Je hapo Hiyo lana ilikua haijaanza kazi?
Na jee huyo toure kama alikua yupo kwenye kiwango bora mbona baaa ya kuondoka City hatukumona tena kung'ara kwenye Soccer popote pale?
Na jee huyo toure kama alikua yupo kwenye kiwango bora mbona baaa ya kuondoka City hatukumona tena kung'ara kwenye Soccer popote pale?