kerubi afunikaye
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,183
- 1,060
ukifananisha mungu na mtu au kitu...hutaipata maana ya mungu....ni zaidi ya umoja na wingi...akili za mwanadamu haziwezi.............
Hujajibu swali.Umelikwepa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukifananisha mungu na mtu au kitu...hutaipata maana ya mungu....ni zaidi ya umoja na wingi...akili za mwanadamu haziwezi.............
Bila shaka mmeikuta Jumapili mkiwa salama wana jamvi wote.
Adam na Hawa walikula tunda la mti ulokatazwa na mwenyez Mungu hivyo binadamu akapewa adhabu ya kifo.
Leo nimekuta mdudu kafa, katika mazingira hayo haionyeshi kama amekanyagwa wala kuangukiwa na kitu. Kwakua mimi si mwanasayansi nikashindwa kugundua yawezekana alipuliziwa sumu..
Imenifanya nifikiri sana kuhusu vifo vya wadudu, wanyama, miti, majani na viumbe vingine hai ambavyo vinazaliwa na kufa kwa mazingira yoyote yale..
Swali kuu ni kwamba je, baada ya Adam na Hawa kula lile tunda, laana iliyotolewa iliwalenga 'viumbe hai wote' au ni kwa 'binadamu' tu?
Kama adhabu ile ni kwa wanadamu tu, kwanini viumbe vingine vinakufa?
Najua JF naweza kupata mwanga na majibu ya kuridhisha.
Nawatakia Jumapili njema.

Hayo ni kwa Mujibu wa mafundisho ya imani gani?
Bila shaka mmeikuta Jumapili mkiwa salama wana jamvi wote.
Adam na Hawa walikula tunda la mti ulokatazwa na mwenyez Mungu hivyo binadamu akapewa adhabu ya kifo.
Leo nimekuta mdudu kafa, katika mazingira hayo haionyeshi kama amekanyagwa wala kuangukiwa na kitu. Kwakua mimi si mwanasayansi nikashindwa kugundua yawezekana alipuliziwa sumu..
Imenifanya nifikiri sana kuhusu vifo vya wadudu, wanyama, miti, majani na viumbe vingine hai ambavyo vinazaliwa na kufa kwa mazingira yoyote yale..
Swali kuu ni kwamba je, baada ya Adam na Hawa kula lile tunda, laana iliyotolewa iliwalenga 'viumbe hai wote' au ni kwa 'binadamu' tu?
Kama adhabu ile ni kwa wanadamu tu, kwanini viumbe vingine vinakufa?
Najua JF naweza kupata mwanga na majibu ya kuridhisha.
Nawatakia Jumapili njema.
Hii point nadhani ndio jibu la ule uzi, kwamba kifo kilikuwepo kwa viumbe wengine wote isipokuwa binadamu. Baada ya binadamu kutenda kosa (ofcoz na kushindwa kuomba radhi) naye akaingia kwenye adhabu mbali mbali eg kula kwa jasho, kuzaa kwa taabu na hatimaye kufa.
1. Sidhani kifo kinatokana na Adamu na Hawa kula tunda.
2. Maana inasomeka: "Siku mkila mtakufa" na wakati hata baada ya kula hilo tunda hawakufa mara moja, waliendelea kuishi.
By yero![]()
Mimea na viumbe vingine vilianza kufa kabla ya binadamu..
Kama alivyosema yero hapo juu.
Nafikiri mkuu ni kwa mujibu wa mafundisho ya common sense.
Fikiria:
Adam na Hawa waliruhusiwa na Mungu kula chochote kile katika ile bustani isipokuwa matunda ya ule mti mmoja tu.
Sasa tunda na mimea ni vitu hai. Vinapoliwa vinakufa. Sijui kama menu ya Adam na Hawa ilikuwa inajumlisha ndafu na kitimoto. Kama ni hivyo basi hata wanyama, samaki, nk. walianza kufa kabla ya binadamu.
pengine nisijibu swali,ila nikuongezee utata zaidi kwenye swali lako kwa swali jingine
ni hivi,habari ya Adamu na Hawa na laana waliyopewa,iliandikwa na Nabii Mussa katika kitabu chake cha mwanzo,swali ni jee,Mussa alipata kuyaona wapi hayo yote,au yalipata kuandikwa wapi kabla?
Habari zote za babu wa waebrania,Ibrahimu,Tunazipata kwenye kitabu hicho hicho,na sote tunajua kwamba Ibrahimu alikuwa kabla ya Mussa,miaka mingi tu,tena linakuja swali,Mussa alidownload wapi taarifa hizo?
Point to note:mambo ya kiroho yanahitaji roho kuyatafsiri,habari ya Adamu na Hawa ina mkanganyiko wa kiroho na kimwili hivyo huwezi kupata mtiririko wa stori unaoutaka kama vile unasoma novel!ni hayo
Mkuu ktk mambo ya Kiroho ni lazima umshirikishe Roho Mtakatifu ili kuweza kuyaelewa.