Strictly Syrup
JF-Expert Member
- Aug 4, 2013
- 1,227
- 1,818
All press is good press.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ni kuwa jamaa sasa anaanza kupata matatizo kila unaemsikia hawamzungumzi kwa jema na wengine wamefika mbali kwa kusema msanii Diamond ameanza kupata laana arudi haraka kwa mzee Abduli amuombe razi. Kabla mzee hajaaga dunia.
who cares.Ukweli ni kuwa jamaa sasa anaanza kupata matatizo kila unaemsikia hawamzungumzi kwa jema na wengine wamefika mbali kwa kusema msanii Diamond ameanza kupata laana arudi haraka kwa mzee Abduli amuombe razi. Kabla mzee hajaaga dunia.
Hizo ni ndoto za maskini. Laana haziwapati Matajiri. Tafuta hela dogo!Ukweli ni kuwa jamaa sasa anaanza kupata matatizo kila unaemsikia hawamzungumzi kwa jema na wengine wamefika mbali kwa kusema msanii Diamond ameanza kupata laana arudi haraka kwa mzee Abduli amuombe razi. Kabla mzee hajaaga dunia.
hatutaki sasaBmkubwa aliyebebeshwa mimba si keshasema mzee Abduli sio dingi ya jamaa!
Excellent answerHizo ni ndoto za maskini. Laana haziwapati Matajiri. Tafuta hela dogo!
Kabisa.Unasema kila unaemsikia anamuongelea vibaya Diamond...?
Itakuwa unaamua wa kuwasikia tena haswa wanaomuingelea vbaya.
Na kwaakiri zako je unapenda tuwe tunafanyaje?Kwa akili za sadalah anapenda muwe mnamzungumzia kama hivi.
Sema kweli🥺🥺🥺Kwa sasa yule uncle shamte ndy akiongea dua baya kwa diamond inampata.
Na sio Mzee Abdul.
Sent using Jamii Forums mobile app
"akiri"?Na kwaakiri zako je unapenda tuwe tunafanyaje?
😀 😀 😀Kwa sasa yule uncle shamte ndy akiongea dua baya kwa diamond inampata.
Na sio Mzee Abdul.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo tuna roho mbaya sana. Hata sijui tatizo ni nini. Inasikitisha !!!Bongo ukifanikiwa unachukiwa wazi wazi.
~Msodoki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sasa yule uncle shamte ndy akiongea dua baya kwa diamond inampata.
Na sio Mzee Abdul.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule shamte ndy usingizi wa mama dangote kwa sasa.Sema kweli[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Hakuna laana inayoweza kumshikaYule shamte ndy usingizi wa mama dangote kwa sasa.
Sasa apingane na kauli ya uncle shamte aone kesho balaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajaribu kumpinga uncle shamte aone..Hakuna laana inayoweza kumshika