Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laana haipo nakataaa mtu tu from nowhere kisa hawara ake mama anipe laana inishike! HaiezekaniAjaribu kumpinga uncle shamte aone..
Siku hizi tamko lolote la diamond anatamka uncle shamte..
Kitendo cha kauli ya uncle shamte kupingwa ni sawa na kumpinga mama dangote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuteni kazi muongeze vipatoUkweli ni kuwa jamaa sasa anaanza kupata matatizo kila unaemsikia hawamzungumzi kwa jema na wengine wamefika mbali kwa kusema msanii Diamond ameanza kupata laana arudi haraka kwa mzee Abduli amuombe razi. Kabla mzee hajaaga dunia.
Watu wanakula mahindi ya kuchoma asubuhi unategemea nini?Sijui kwanini watu mnahangaika namna hii.
Jibu lako konki aisee 🤣🤣🤣Tafuteni kazi muongeze vipato
Anakutamkia maneno mabaya mkuu,,Laana haipo nakataaa mtu tu from nowhere kisa hawara ake mama anipe laana inishike! Haiezekani
Amini unachoamini lakini navojua ata maandiko yalieleza ktk biblia nimesahau kitabu laana isokuwa na sababu haishiki, mtu tu kisa anamlala mama eti laana imshike haipoooo na haitatokea labda km hujui wa kutoa laana ni kina nan
MIT. :26:2Amini unachoamini lakini navojua ata maandiko yalieleza ktk biblia nimesahau kitabu laana isokuwa na sababu haishiki, mtu tu kisa anamlala mama eti laana imshike haipoooo na haitatokea labda km hujui wa kutoa laana ni kina nan
Nashukuru sana kwa kunikumbushaMIT. :26:2
Kama shomoro katika kutanga-tanga kwake, Na kama mbayuwayu katika kuruka kwake; Kadhalika laana isiyo na sababu haimpigi mtu.
Sikukuu ya idd kamtumia mkwanja, mzee katoa sadaka kalisha majirani, Ila kwanza alimuuliza we nani mi fulani, Ila pesa kapokea.Ukweli ni kuwa jamaa sasa anaanza kupata matatizo kila unaemsikia hawamzungumzi kwa jema na wengine wamefika mbali kwa kusema msanii Diamond ameanza kupata laana arudi haraka kwa mzee Abduli amuombe razi. Kabla mzee hajaaga dunia.