Hii point!Wachekeshaji wengi wa Tanzania hawajui kuchekesha. Angalau hizi skits zimekuja kuwaokoa. Kwenye skits ni hit-or-miss.
Bongo kwenye sanaa ya uigizaji / uchekeshaji hakuna quality bali quantity, tuna watu wengi wanaojiita wachekeshaji kushinda wachekeshaji wenyewe.
Ukifuatilia majukwaa kama Watu Baki, Cheka Tu: mada zao kwa 70% ni ngono. Uchekeshaji wao lazima wahusishe ngono, wanachowasilisha ni kama kimelenga aina fulani ya hadhara: watu wa hovyo.
Hahahaha,,komwe lmenfurahsha ad nkapata wazo huo undevu si ahamishie apoNI MCHEKESHAJI GANI AMBAYE HAWEZI KUKUCHEKESHA??View attachment 2957932
[B]Mimi ni mkojani ,nasikia tu watu wanasema anachekesha.[/B]
Kaka mtafute mbwamboInsta nilikosa kabisa wa kunichekesha, kidogo nikamuelewa TxDulla.
BahuuJoti....
Naomba link, napenda kufurahia comedyKaka mtafute mbwambo
Unacheka ukiamua; lakini si lazima kunakuwa na kisababishi?!Wote...hakuna anayeweza kunichekesha
Huwa nacheka nikiamua,sio mtu kunichekesha
Sawa lo Ukimaliza kusoma nawe tupia wako ambae hata akutekenye hushtuki😂😊
Sawa ila kuna watu utake usitake atakutoa mbavu mfano zembwela na bambo🤣🤣🤣🤣Unacheka ukiamua; lakini si lazima kunakuwa na kisababishi?!
Comedy ni hisia. Na si umaarufu wa msanii. Ni vile anavyokuchekesha tu bila kujali anatokea wapiWatu wanaoweza kunichekesha ni wachekeshaji wa Genre ya Black Comedy tofauti na hapo sicheki naona anaigiza utoto.
Baadhi ya muvi na series za black comedy ni
- The Dictator
- The boys (series)
- You don't mess with the Zohan
- Breaking Bad
- Better Call saul
- Game of thrones
Huu ndio ukweli. Si jina la mchekeshaji wala umaarufu wakeIli ucheke inatakiwa uwe kwenye mkao wa kucheka. Ukisema ukaze hata Mr Bean hatoboi
Ikiwa unapiga stori na rafiki yako mnayeivana,akisema kitu kidogo ni rahisi wewe kucheka hasa ukijua kuwa kusudio lake ni wewe ufurahi. Tofauti na jambo hilo hilo akilisema msiyeivana
Yule bwabwa Kila siku kuigiza kama mwanamke NothingDah mimi bwana Joti huwa hanichekeshi kabisa..
Mr Bean ana muvi yake moja anahangaishwa na kanyuki kamoja tu. Ile muvi acha kabisa 😂Mr Bean basi