Labda anitekenye

Hii point!
 
Kuchekeshwa ni hisia.
1. Haijalishi mchekeshaji anatoka Taifa gani. Ni sawa na mtu aliyeuliza Kati ya King Majuto na Mr Bean nani mkali. Wengi wakacomment unafananisha mtu aliye 'mbele' na hapa bongo! Badala ya content
2. Uchekeshaji ni kama wimbo. Huu unakuvutia lkn ule haukuvutii.
3. Uchekeshaji haiendani na umaarufu wa mchekeshaji bali namna anavyokuchekesha. Ndio maana Kuna watu tunao mtaani wanachekesha vzr tu
 
Comedy ni hisia. Na si umaarufu wa msanii. Ni vile anavyokuchekesha tu bila kujali anatokea wapi
 
Huu ndio ukweli. Si jina la mchekeshaji wala umaarufu wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…