Labda miaka 40 mbele ndio upinzani wanaweza kupata mpenyo wa kuchukua Dola kama ilivyotaka kutokea 2015

Labda miaka 40 mbele ndio upinzani wanaweza kupata mpenyo wa kuchukua Dola kama ilivyotaka kutokea 2015

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Wengine hapa nchini hatuna majina lakini tuna macho ya rohoni (third eye) .

Tangu nipate akili timamu za kiutu uzima na kujitegemea Mimi sijawahi kuwa mdau wa CCM. Nina kadi ya CCM na CHADEMA ndani.

Ya CHADEMA niliikata mwenyewe 2015 na CCM nimeletewa tu mwaka huu. Kwa ufupi Mimi sina chama, sijawahi kupiga kura na sitarajii kupiga kura hivi karibuni.

Turudi main point. 2015 milango ilikuwa wazi kwa chama cha upinzani chenye nguvu hasa CHADEMA kuchukua nchi.

Vitengo wakachekecha akili wakapata njia ya kupindua meza. Mbowe kwa kujua au kwa kutokujua akaingia King mchezo ukaisha.

Nafasi kama ile sasa haipo, labda kuanzia miaka 40 mbele kuanzia sasa huenda ikatokea tena.
Hata viongozi wa CHADEMA wanajua hilo.

Mlale unono.

Mbowe must go
 
Wengine hapa nchini hatuna majina lakini tuna macho ya rohoni (third eye) .

Tangu nipate akili timamu za kiutu uzima na kujitegemea Mimi sijawahi kuwa mdau wa CCM. Nina kadi ya CCM na CHADEMA ndani.

Ya CHADEMA niliikata mwenyewe 2015 na CCM nimeletewa tu mwaka huu. Kwa ufupi Mimi sina chama, sijawahi kupiga kura na sitarajii kupiga kura hivi karibuni.

Turudi main point. 2015 milango ilikuwa wazi kwa chama cha upinzani chenye nguvu hasa CHADEMA kuchukua nchi.

Vitengo wakachekecha akili wakapata njia ya kupindua meza. Mbowe kwa kujua au kwa kutokujua akaingia King mchezo ukaisha.

Nafasi kama ile sasa haipo, labda kuanzia miaka 40 mbele kuanzia sasa huenda ikatokea tena.
Hata viongozi wa CHADEMA wanajua hilo.

Mlale unono.

Mbowe must go
Hii nguvu na muda mnaotumia kuongelea uchaguzi wa chadema..mngetumia kuiambia serikali iwarudishe Soka, Mbise, Chaula na wengine waliotekwa au kuiambia serikali ieleze uchunguzi wa mauaji ya Mzee Kibao ymefikia wapi..kungekuwa na tija sana! na hapo ndio mlicho nacho kichwani mwenu kinaonekana mko upande gani na mna lengo gani..!
 
Hii nguvu na muda mnaotumia kuongelea uchaguzi wa chadema..mngetumia kuiambia serikali iwarudishe Soka, Mbise, Chaula na wengine waliotekwa au kuiambia serikali ieleze uchunguzi wa mauaji ya Mzee Kibao ymefikia wapi..kungekuwa na tija sana! na hapo ndio mlicho nacho kichwani mwenu kinaonekana mko upande gani na mna lengo gani..!
Hao uliowataja tayari wameuwawa.
Kama Mbowe angekuwa imara na asingekuwa pandikizi hao na wengine kama Ben saa 8 wasingeuwawa.
Kwahiyo solution no. 1 ni kumuengua Mbowe
 
Back
Top Bottom