Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Umejuaje ikiwa soka la bongo limewashinda hata kwenda mataifa africaHuyo atakuwa flop tuu pale England
Mashabiki wa arsenal endeleeni kuota ubingwa.. Mtakufa kwa presha tuuUmejuaje ikiwa soka la bongo limewashinda hata kwenda mataifa africa
Shenz
Huyu babu tumeshindwa kumfukuzaYote kwa yote kocha bado ni wenger?
Huyu kijana anakuja kuua kipaji chake tu , hii timu ina gundu baya sana .David ornstein wengi nadhani mnajua huwa hatoi taarifa ya uongo mara nyingi habari zake zinakuwa za kweli kwenye page yake amepost kuwa arsenal wanakaribia kumnasa lacazzete kila kitu wameshakubaliana yan klabu na mchezaj bado medical na kusaini tu.mm nimeshafunga mjadala wa lacazzete ni mali yetu huyu tayari namsubiri Thomas Lemar, niwakumbushe ornstein ndie aliyetoa habari za ozil, sanchez, debuchy, xhaka na zote zikawa kweli
Inasemekana ni mchawi balaa !Huyu babu tumeshindwa kumfukuza
baada ya kuhamia emirates arsenal haikuwa na mpango wa ubingwa bali kulipa deni,ihukumu arsenal kuanzia 2014Miaka karibia 14 mnatafuta ubingwa na huyo mzee wenu
pana umbali mrefu baina ya kusemakana na ukweliInasemekana ni mchawi balaa !
tatizo umeweka ushirikina mbeleHuyu kijana anakuja kuua kipaji chake tu , hii timu ina gundu baya sana .
umfukuze wa nini mtu anafundisha mpira mtamuHuyu babu tumeshindwa kumfukuza