Ladack Chasambi ni nani mbona kitenge anachochea sana kuni?

Ladack Chasambi ni nani mbona kitenge anachochea sana kuni?

Shaffih ni wakala mawakala ndivyo walivyo katika worldly football hayo mahojiano ni ujinga tu ,price tag za kuuzwa wachezaji hazitajwi na team inayo nunua inabaki kazi ya media na mawakala kupata habari hivyo basi ni ujinga tu wa management team kujitokeza mbele na kukanusha au kukubali maswala ya mchezaji.Umeona wapi wajifunze hata kwa JOB
Sio kila kitu ni siri

Mbona mikataba ya kina Ronaldo huko tunajua wanapokea kiasi gani kwa wiki hadi mwezi?

Unataka kuniambia kwa hadhi ya Ronaldo amezidiwa na kina Azizi Ki kwenye confidentiality ya mkataba kwasababu mkataba wake kuhusu signing fee na salary vipo open?

Halafu usichokijua role ya Shaffih Dauda kwenye hii sakata haiku play as "agent" ili kupiga mpunga. Mawakala wa mchezaji ndio hao walioenda kukanusha uzushi wa Shaffih Dauda.

Shaffih Dauda alikuwa kama middle man ambaye alitaka mchezaji asainiwe kupitia foundation yake ili apate commission.

Yani yeye apate ujiko ambao haupo in reality ionekane kamkuza mchezaji kupitia foundation yake ilihali mchezaji amekuwa kwenye soko kupitia juhudi zake binafsi.

Sijui umeelewa hapo?
 
Punguzeni u mbumbumbu ivi kunamchezaji ata Toka Tanzania akasajiliwe Ulaya bila kujaribiwa.
Labda uko Ulaya vijijini Cyprus, khazstsn n.k na uko utacheza mpira uku unalima katika shamba la klabu.
Ulaya ipi wewe unafikiri kila mchezaji aliyepo Ulaya anajua mpira?

At least hoja yako ijikite kwenye aina ya ligi, kuliko hii ya kusema Ulaya.

Sasa Israel ina mpira gani wakutisha?

Kuna mataifa ya Ulaya yana timu mbovu Zalan inasubiri na bado utaendelea kuzihusudu kwasababu ni Ulaya?
 
Bahati mbaya mpira wetu una Mazuzu wengi, Ao ma agent wakubwa ulaya nyuma Yao Kuna watu aina ya Shafii wengi Sana.
Ndivyo Dunia ya Soka ilivyo, Hakuna Agent duniani anaye fanya kazi bila ao jamaa na wote wanapata haki zao.
Nyuma ya mchezaji Kuna watu wa kutosha ambao wengine hata mchezaji hajawahi kukutana nao.
Msione Kuna wachezaji viwango ni vya kawaida lakini wanabadilisha timu watakavyo izo ni kazi za watu kama Shafii wapo Dunia Nzima
 
Sio kila kitu ni siri

Mbona mikataba ya kina Ronaldo huko tunajua wanapokea kiasi gani kwa wiki hadi mwezi?

Unataka kuniambia kwa hadhi ya Ronaldo amezidiwa na kina Azizi Ki kwenye confidentiality ya mkataba kwasababu mkataba wake kuhusu signing fee na salary vipo open?

Halafu usichokijua role ya Shaffih Dauda kwenye hii sakata haiku play as "agent" ili kupiga mpunga. Mawakala wa mchezaji ndio hao walioenda kukanusha uzushi wa Shaffih Dauda.

Shaffih Dauda alikuwa kama middle man ambaye alitaka mchezaji asainiwe kupitia foundation yake ili apate commission.

Yani yeye apate ujiko ambao haupo in reality ionekane kamkuza mchezaji kupitia foundation yake ilihali mchezaji amekuwa kwenye soko kupitia juhudi zake binafsi.

Sijui umeelewa hapo?
Al nassr wameandika wapi kwamba wanamlipa Ronaldo kiasi hiki ,au walimsajiri kiasi hiki ,tafuta taarifa hiyo kama utaipata ,narudia team haiwezi na haitaweza kuandika kwenye official page price tag ya mchezaji.
 
Bahati mbaya mpira wetu una Mazuzu wengi, Ao ma agent wakubwa ulaya nyuma Yao Kuna watu aina ya Shafii wengi Sana.
Ndivyo Dunia ya Soka ilivyo, Hakuna Agent duniani anaye fanya kazi bila ao jamaa na wote wanapata haki zao.
Nyuma ya mchezaji Kuna watu wa kutosha ambao wengine hata mchezaji hajawahi kukutana nao.
Msione Kuna wachezaji viwango ni vya kawaida lakini wanabadilisha timu watakavyo izo ni kazi za watu kama Shafii wapo Dunia Nzima
Naomba unijibu haya maswali

Hiyo Club ya Ulaya ilimjua vipi Chasambi?

Katika ligi ambayo wapo wachezaji wenye namba nzuri kwanini Chasambi na sio mtu mwingine?

Ilimjua kupitia Shaffih Dauda?

Kwamba jamaa tangu kitambo alikuwa na connection na watu wa huko Ulaya hivyo akampigia pande dogo?

Ukumbuke kuwa Chasambi hana uhusiano na Shaffih Dauda wala hajatokea kwenye foundation yake.

Sasa unataka kuniambia Shaffih Dauda ana huruma sana na Chasambi kiasi cha kuwa skip wachezaji wake kutoka kwenye foundation yake na kumtafuta Chasambi ampe dili ka Ulaya huku akijua wazi kabisa kuwa kwa kufanya hivyo hawezi kwenda kunufaika chochote kuliko angemtoa mchezaji wake wa kwenye hiyo foundation yake?

Au hiyo Club ya Ulaya imemjua Chasambi kupitia juhudi zake mchezaji mwenyewe akiwa kiwanjani na ndio zilizo washawishi scouting team kuona anaweza kuwafaa kwa mahitaji yao?
 
Al nassr wameandika wapi kwamba wanamlipa Ronaldo kiasi hiki ,au walimsajiri kiasi hiki ,tafuta taarifa hiyo kama utaipata ,narudia team haiwezi na haitaweza kuandika kwenye official page price tag ya mchezaji.
Kwanza sio swala la Club kuandika wapi wamemlipa nimesema wenye hiyo authority wapo na ndio maana nimewa point management.

Kwa hiyo pamoja na kwamba Al Nassr hawajaweka wazi mshahara wa Ronaldo, niambie imekuaje Ronaldo awekwe kwenye top 3 ya wachezaji wanaolipwa hela nyingi?
 
Sio kila kitu ni siri

Mbona mikataba ya kina Ronaldo huko tunajua wanapokea kiasi gani kwa wiki hadi mwezi?

Unataka kuniambia kwa hadhi ya Ronaldo amezidiwa na kina Azizi Ki kwenye confidentiality ya mkataba kwasababu mkataba wake kuhusu signing fee na salary vipo open?

Halafu usichokijua role ya Shaffih Dauda kwenye hii sakata haiku play as "agent" ili kupiga mpunga. Mawakala wa mchezaji ndio hao walioenda kukanusha uzushi wa Shaffih Dauda.

Shaffih Dauda alikuwa kama middle man ambaye alitaka mchezaji asainiwe kupitia foundation yake ili apate commission.

Yani yeye apate ujiko ambao haupo in reality ionekane kamkuza mchezaji kupitia foundation yake ilihali mchezaji amekuwa kwenye soko kupitia juhudi zake binafsi.

Sijui umeelewa hapo?
Kama hajakuelewa hapo mteme
 
Kwa haraka nimesikia analalmikiwa shafii dauda kwa kuongea na mchezaji ili awe wakala wake wakt mchezaji tayari ana management yake inayo msimamia

Namuona kitenge wa wasafi fm akichochea kuni ili kusud shafi aonekane kuwa Ni tapeli wa wachezaji

Je, ni nani mwenye ukweli na taarifa kamili juu ya huyu dogo anasemaeka hv SAS kasign wekundu wa msimbazi

Asante sana kwa leo ni hayo tu

Safarini kuelekea Mabibo DSM.
Shaffih mzee wa front page!
1) Mchezaji nilitaka kumpeleka nje, kwanini kasign Simba
2) Mzungu wa taifa star sio mtaanzania hafai kuichezea Tanzania, anatafuta kuonekana na timu kubwa ulaya

Huyu buana ana wivu wa kimama, roho ya korosho na kwajinsi alivyo atakuwa mwizi wa wake za watu!
 
Naomba unijibu haya maswali

Hiyo Club ya Ulaya ilimjua vipi Chasambi?

Katika ligi ambayo wapo wachezaji wenye namba nzuri kwanini Chasambi na sio mtu mwingine?

Ilimjua kupitia Shaffih Dauda?

Kwamba jamaa tangu kitambo alikuwa na connection na watu wa huko Ulaya hivyo akampigia pande dogo?

Ukumbuke kuwa Chasambi hana uhusiano na Shaffih Dauda wala hajatokea kwenye foundation yake.

Sasa unataka kuniambia Shaffih Dauda ana huruma sana na Chasambi kiasi cha kuwa skip wachezaji wake kutoka kwenye foundation yake na kumtafuta Chasambi ampe dili ka Ulaya huku akijua wazi kabisa kuwa kwa kufanya hivyo hawezi kwenda kunufaika chochote kuliko angemtoa mchezaji wake wa kwenye hiyo foundation yake?

Au hiyo Club ya Ulaya imemjua Chasambi kupitia juhudi zake mchezaji mwenyewe akiwa kiwanjani na ndio zilizo washawishi scouting team kuona anaweza kuwafaa kwa mahitaji yao?
Mkuu hv huwa unachamhuwa Mpira kupitiaa redio gani

Mm nilijuwa popoma Ana news za mpira kumbe anazo porojo tu

Haki GENTAMYCINE hawezi ongea lolote juu ya swlaa hili kwa kina Zaid

Nashangzwa amewezaje kuwa mshindi wa tuzo popoma
 
Shaffih mzee wa front page!
1) Mchezaji nilitaka kumpeleka nje, kwanini kasign Simba
2) Mzungu wa taifa star sio mtaanzania hafai kuichezea Tanzania, snarafuta kuonekana navtimu kubwa ulaya

Huyu buana ana wivu wa kimama, roho ya korosho na kwajinsi alivyo atakuwa mwizi wa wake za watu!
Anachonikera Ni kujifanya mjuaji
 
Sio kila kitu ni siri

Mbona mikataba ya kina Ronaldo huko tunajua wanapokea kiasi gani kwa wiki hadi mwezi?

Unataka kuniambia kwa hadhi ya Ronaldo amezidiwa na kina Azizi Ki kwenye confidentiality ya mkataba kwasababu mkataba wake kuhusu signing fee na salary vipo open?

Halafu usichokijua role ya Shaffih Dauda kwenye hii sakata haiku play as "agent" ili kupiga mpunga. Mawakala wa mchezaji ndio hao walioenda kukanusha uzushi wa Shaffih Dauda.

Shaffih Dauda alikuwa kama middle man ambaye alitaka mchezaji asainiwe kupitia foundation yake ili apate commission.

Yani yeye apate ujiko ambao haupo in reality ionekane kamkuza mchezaji kupitia foundation yake ilihali mchezaji amekuwa kwenye soko kupitia juhudi zake binafsi.

Sijui umeelewa hapo?
Umenikumbusha ishu ya champion boy na digala
 
Shaffih mzee wa front page!
1) Mchezaji nilitaka kumpeleka nje, kwanini kasign Simba
2) Mzungu wa taifa star sio mtaanzania hafai kuichezea Tanzania, snarafuta kuonekana navtimu kubwa ulaya

Huyu buana ana wivu wa kimama, roho ya korosho na kwajinsi alivyo atakuwa mwizi wa wake za watu!
Sasa na ndambi ile anashindwaje kuwa na roho ya korosho
Atuambie ramadhani singano mpaka sasa alimsaidia nini alimpomtoa simba kinafki
 
Kuna vitu kwa hadhi yake alipaswa kuvifanya off mic lakini kufunguka kuongea uzushi ni kukiharibia title yake.

Na hapa anaweza kukaa kimya lakini ikitokea siku Simba imeachana na huyo mchezaji you will feel his grudge
Niliona kale ka clip alikuwa anajilazimisha sana kuongea kama kagongewa mke anarusha mikono tu point haijulikani ni ipi
Kwa ukubwa wa shaffih hakupaswa kubwatuka vile hadharani ana wachezaji wangapi anawasimamia mpka mpaka ishu ya chasambi aivae
Mbona hajielezei samatta alivyomnawa?
Shaffih ana gubu na muharibifu aongelee wachezaji wake wanaosugua benchi huko ulaya
 
Unashindwa kuelewa wanaompinga Shaffih sio Wasafi wala Kitenge

Ni mawakala wa mchezaji na mchezaji mwenyewe.

Shaffih Dauda alikuwa anafosi kupata commission kwa kutaka Chasambi asajiliwe na timu kupitia foundation yake.

Shaffih Dauda alikuja na dili feki na akasimama kama middle man lakini management ya mchezaji ilikuwa smart kugundua ulafi wa jamaa.

Shaffih Dauda alimfata mchezaji na kumu approach kuwa kuna offa kutoka Ulaya ambako ni Israel.

Dogo akafikisha huo ujumbe wa management yake na management yake ikafanya mawasiliano na Shaffih Dauda kuwa wapo tayari ila tupe hiyo offer tujadili maslahi atayopata mchezaji.

Lakini Shaffih Dauda hakuweza ku prove hiyo offer kuwa ni real. Walipoona jamaa alikuwa ana test upepo kwa madai feki wakampiga chini waka stick kwenye dili ambalo limeletwa na Simba.

Sasa yeye alipoona wamemla kichwa kwenye mchongo wake wa Israel akaja kwenye media akiwa emotionally eti yuko disappointed kwa kitendo cha dogo kusajili Simba na kuacha kwenda Ulaya.

Alipokuja kuharibu ni kutaja mkataba alionunuliwa Simba kutoka Mtibwa ambapo kwa mujibu wa management ya mchezaji Shaffih Dauda ametoa maelezo ya uongo.

Na moja ya hoja ambayo hata mimi nimeizingatia kutoka upande wa management ya mchezaji ni kukanusha taarifa za uongo ambazo zingeachwa ziwe spread zingewesa kuleta madhara.

Kuna kasumba ya kusikia boss katoa milioni 200 ya usajili halafu uongozi wa Club unamleta mchezaji aliyesajiliwa kwa milioni 100 halafu kwenye ripoti wanaandika milioni 200

Kwa hiyo Shaffih Dauda kwa kitendo chake cha kudanganya kutaja thamani ya mkataba kinaweza kuleta taswira tofauti, boss aliyetoa hela ya usajili anaweza kudhania kuwa amepigwa kwasababu kiasi kikichotajwa na Shaffih Dauda hakifanani na kiasi alichoandikiwa kwenye ripoti.
Dah!...tamaa hizi
 
Kwa haraka nimesikia analalmikiwa shafii dauda kwa kuongea na mchezaji ili awe wakala wake wakt mchezaji tayari ana management yake inayo msimamia

Namuona kitenge wa wasafi fm akichochea kuni ili kusud shafi aonekane kuwa Ni tapeli wa wachezaji

Je, ni nani mwenye ukweli na taarifa kamili juu ya huyu dogo anasemaeka hv SAS kasign wekundu wa msimbazi

Asante sana kwa leo ni hayo tu

Safarini kuelekea Mabibo DSM.
shafi kweli ni tapeli,muongo,mjinga na mpuuzi sana
 
Back
Top Bottom