Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Hata yeye anahisi hivyo hivyoHabarini wakuu,
Mimi nina mpenzi wangu ambae nimekuwa nae mda mrefu sasa na huduma zote za chumbani huwaga ananipa yeye tu, yaani sichepuki.
Ila cha ajabu naona kila siku zinavozidi kwenda, ladha ya tendo inapungua yaan utamu wa siku za nyuma haupo tena sikuhzi.
Hivi hii ishawahi kuwakuta wanaume wenzangu au ndo kuna shida gani
DuuuhKuwa na MTU mmoja ni zilipendwa mkuu.Tuliachaga mbona
Tafuta pesa wewe.acha uzembe na ngono zembe..!Habarini wakuu,
Mimi nina mpenzi wangu ambae nimekuwa nae mda mrefu sasa na huduma zote za chumbani huwaga ananipa yeye tu, yaani sichepuki.
Ila cha ajabu naona kila siku zinavozidi kwenda, ladha ya tendo inapungua yaan utamu wa siku za nyuma haupo tena sikuhzi.
Hivi hii ishawahi kuwakuta wanaume wenzangu au ndo kuna shida gani
Jitahidi uwe na timu za nje ambazo ni temporary zitakusaidia sanaHabarini wakuu,
Mimi nina mpenzi wangu ambae nimekuwa nae mda mrefu sasa na huduma zote za chumbani huwaga ananipa yeye tu, yaani sichepuki.
Ila cha ajabu naona kila siku zinavozidi kwenda, ladha ya tendo inapungua yaan utamu wa siku za nyuma haupo tena sikuhzi.
Hivi hii ishawahi kuwakuta wanaume wenzangu au ndo kuna shida gani
Ushauri correct kabisa. Akifanyia kazi ham inarudi.Kukinai hutokea mkuu..
Hebu tafuta kitu ambacho una hamu nacho sana..ukikipata mwanzoni hamu inakua juu lakini kadri mda unavyoenda inapungua mwisho huoni jipya,yani unakinai.
-badili mtindo wenu wa kukutana kimwili,vionjo,mazingira,style nk
-msikutane kimwili kila siku,kaeni mfano siku NNE au week ndo mkutane.hii itajaza hamu
-Dada aongeze mbinu ama abadili kuleta tofauti kidogo..nawe pia.
BTW oaneni zinaa sio njema!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119] aiseeeKuwa na MTU mmoja ni zilipendwa mkuu.Tuliachaga mbona
Tunakimbizana nayo mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119] aiseee
Dunia iko kasi Sana
Umetisha sana kiongoziKuwa na MTU mmoja ni zilipendwa mkuu.Tuliachaga mbona
Yeah,inabidi vijana wachangamkie fursaUmetisha sana kiongozi