Ladies, let’s do the real talk...

Hongera

Na unavyojua kuhadithia kwa mpangilio Sasa[emoji4]
Ntakuja pm uwe unanihadithia na kunipa ushauri.
 
[emoji122][emoji122]
 
labda wale wa kupewa za urithi tu lakini mtafutaji anajua vyema kuendesha mitikasi yake
hoja yako nzuri sana
 
Thank you...
Sikuhizi naona trend iliyopo ni we meet somewhere or at the top..kila mtu anatafuta

and why is it always assumed that the woman is broke?.

Hivi hamna wadada wenye hela?.

ukiwa na hela dating broke guys can be difficult..afterall well off guys dont date broke btches either(excuse my language)
 
Wewe huna shughuli ya kukuingizia kipato pia?.
Okay kama usafiri ama nyumba huna;any plans?

Like.,kama binti dont u have anything good going on i ur life u can show for it?.

being broke ni issue ila sio issue sana... issue ni 'mindset' ...u have to know u wont remain the same woman
 
What about dating a broke lady? Ila maisha haya, dah!!
 
Tatizo wanawake wengi wa hapa Bongo wako na tamaa kama hii ya Hamisa Mobeto, wanamfuata jamaa kisa ana hela ili awe anazitumia tu pesa na kujianika mitandaoni kuwa kapata. In reality hana any contribution katika maendeleo ya huyo mtu. Siku za nyuma nilikuwa kwenye mahusiano na mwanamke wa dizaini ya Hamisa na Wema, yule mwanamake alijuwa kuwa nina mke na alijitahidi sana kushindana na mke wangu na kutaka nimuache niwe naye yeye.

Najuwa nilifanya kosa kumcheat mke wangu ila haikuwa nia yangu, huyu mwanamke alikuwa kero kwangu, so kwa kifupi nilidhani ningeduu naye angeniacha alone kumbe sivyo. Mdada alikolea penzi na kunipigia simu hata nikimwambia niko na mke wangu anaanza kubwaka, yaani mimi unaniona sifai siyo?

Namwambia wewe na mimi ni marafiki tu huyu ni mke wangu, anakasirika na kuanza kumsaka mke wangu wajilinganishe. Nilikuja kumuacha aliponiambia nimjengee nyumba kama anayoishi mke wangu na nimnunulie gari kama la mke wangu, nikamtalia na kukata line.....Sasa anasema atanikomesha kwanini nimempotezea muda, yaani wanawake kwa kweli mnaboa sometimes.
 
Jesus what a crazy woman!!
 
Hehehe sasa Kuna wanaume ata Mali bado hawana lkn anavo kutreat kama anakufanyia hisani kuwa nae na hapo ata kazi hana nawaza tu upepo wa pesa ukimpitia cjui itakuwaje....apo akishika tu 50 anabadilika sasa akishika millions of money...
na pia kuna type ya men (me included) ambao tukipata pesa hata kama ni kiasi kidogo tunajitahidi sana kuwaonyesha wanawake zetu ni jinsi gani tunawapenda . don't be too negative dear
 
na pia kuna type ya men (me included) ambao tukipata pesa hata kama ni kiasi kidogo tunajitahidi sana kuwaonyesha wanawake zetu ni jinsi gani tunawapenda . don't be too negative dear
Hongereni sana
 

Exactly . Realistically kama kweli mwanamme anazo hela na mali za kueleweka, kwanini aende kutafuta broke b*tch? Aidha atatafuta anaelingana nae au ambae at least ana juhudi fulani katika maisha.

Exception pekee ambayo naweza kufikiria ni ma Trophy Wife. Wanataka arm candy, kitu cha kuringishia wengine. Au labda mwanamme ana pesa lakini sura na shepu no mbovu mbovu so atahakikisha mwanamke ampatae ni 100% model type ili angalau watoto wawe na chance kuwa na sura zinazoeleweka.

Beauty is currency.

Mfano Trump na Melania. Trump was rich, Melania ni masikini from eastern europe hata kiingereza kinampiga chenga. Trump mbegu yako ni mbaya hata as a self proclaimed billionaire ona mitoto yake. Thank goodness for plastic surgery hao mabinti wamepona kidogo. Watoto wote wamezaliwa na ma model type.....






 

Attachments

  • 1603130502378.png
    211.5 KB · Views: 2
  • 1603130636350.png
    598.6 KB · Views: 2
Kinachompa A furaha sio kinachompa B furaha. Wewe kama unaona sawa kuwa na mtu ambae umemkuta hana kitu ni sawa, mwingine mwenye maono makubwa ya maisha anaweza kumtoa huyo aliemkuta na gari moja akamiliki sita, aliemkuta na nyumba moja akamfanya wamiliki nyumba kila wilaya, akamfanya wamiliki viwanda.

Dr Mwaka alianza na mkewe kuanzia huko chini lakini sasa hivi ameongezewa kila kitu utajiri na wake wenza. Kwahiyo tulia mama kila mmoja aishi maisha yake.
 
Ni mawazo yako tu ya kimasikini ndio ulihisi unakua disrespected au ni tabia tu ya huyo mwanaume uliekutana nae. Kwani hata huyo asiekua na mali siku akizipata utaanza kuona tabia zake ambazo hujawahi kuziona. Maisha yako vile ambayo unayachukulia kuliko vile unadhani watu wanakuchukulia.
 
nini hii umeandika sasa umeanza vizuri ukaishia kwenye ubaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…