Ladies, let’s do the real talk...

Mkuu hii comment ntaifungua kama uzi sababu imenikuna mno...hili ni jibu la dhahiri kwa wanawake wanaohisigi kuwa hawatendewi haki na wanaume wanaowabadilikiaga wakishika pesa. Wanashangaaga sana kwanini wanaachwa ghafla ila jibu liko wazi kupitia hii comment.
 
Safi sana Carleen, yani kama mtu unataka mume, just look for someone ambae mnaweza kuanza maisha pamoja, sio mtu ambae unaende kudandia maisha ambayo alishajenga foundation siku nyingi

Sema wadada wa kibongo hii theory ilishawashinda
Wao wanataka kulamba icing sugar tu😂😂😂 ila hustles za kutengeneza cake from scratch hawataki!

Ubaya wa hilo ni kwamba lazma muwe msururu tu maana kila dem matamaa anataka bwana awe wake ili awatambie mashosti wake.
 
Wengi huachwa sababu ya kuishi na mwanaume kwa madharau na kejeli nyingi kama vile unamfanyia favor kuwa nae sababu hana lolote la maana 😂😂😂!!!

Siku akifumania channel ya mapene mziki lazma uwe mnene! Ukileta fyoko unaokota virago barazani 😂
 
You have a point ila kaa ukijua kuwa as years have gone na maisha yamebadilika sana. Utandawazi pia umeleta changamoto zake kadri siku zinavyoenda mbele maisha yamekuwa magumu na yanazidi kuwa magumu tokana na mfumo ambao tuli adapt wa haki sawa na upendeleo zaidi kwa akina mama na Education system.

Namna ya kuendesha maisha formally ilikuwa through white collar jobs. Fursa za kuajiriwa zimekuwa finyu isitoshe ndio hizo hizo watu wanagombania pamoja na watoto wa kike. Another option ni kujiajiri which is not a thing for everyone unless uwe na karama ya biashara ama utokee familia ambayo iko well of na ukawa pre-exposed na mifumo ya kujitegemea kibiashara.

Other than that uta lag behind na hii imeathiri kundi kubwa la vijana ambao ndio wanasakamwa kuwa hawataki kazi ilihali kazi zenyewe hakuna na ni ngumu kupatikana kadri siku znavyosonga mbele.

Katika hili kundi ndio kuna ambao wametokea kusaidiwa (TAG Ubavu) na wapenzi wao wa kike ili kujaribu maisha kivingine kwa kusaidiwa mitaji na kuwa facilitated ili waweze kutoboa ila ndio wanapewa ubini wa marioo na baadhi ya wanawake ambao wanaona mwanaume kupewa msaada ni dhambi ilihali wao wakike wengi ndio hubebwa zaidi na ME wao.
 
Katika siku umecomment point ni hii ya leo...Agiza kinywaji chochote kwa bill yangu ntalipa!
 
Anaweza akawa anakili kitu but asiwe na akili ya kuendesha zile mali zake


Hebu rudia tena,

Yaan mtu ana kila kitu kwa juhudi zake halafu hana akili ya kuendesha mali zake...!!!!!!!!!!!!!!
 
Umeongea point kubwa sana
 
Hebu rudia tena,

Yaan mtu ana kila kitu kwa juhudi zake halafu hana akili ya kuendesha mali zake...!!!!!!!!!!!!!!
Wapo wengi hawana muongozo mzuri. Akikukuta unaakili unampa wazo afanye ivi aongeze mradi upi n.k
 
Hahaaa anakua anakulia timing uharibu alianzishe
Lkn wanasema pata hela tujue tabia yako wana vibur wengine wakizikamata
 
Umenenaa hasaa
Umenenaa hasaa
 
Umenenaa hasaa
Umenenaa hasaa
 
Mwanamke hajui kubadilisha oil ya gari, hajui kuendesha semi-trailer, hajui kusafisha bunduki, hajui kutegua bomu la nyuklia.... Hajui kupigana na predator.

Huyo mwanamke me wa kazi gani..... Si bora ni bakie pekee yangu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wao wanataka kulamba icing sugar tu😂😂😂 ila hustles za kutengeneza cake from scratch hawataki!

Ubaya wa hilo ni kwamba lazma muwe msururu tu maana kila dem matamaa anataka bwana awe wake ili awatambie mashosti wake.
Ila wanawake kupangwa msururu sio issue kwao sana as long as jamaa anampunga. Si unaona mond anavyowapanga na bado wanazidi kushoboka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…