financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Mi naona si vibaya kupendana na mtu sababu eti ana kila kitu, cha msingi ni kwamba inabidi uwe ni upendo wa kweli na si sababu ya mali. Na kuhusu contribution yako mtaanzia pale alipofikia utamshauri ni jinsi gani mtaendeleza hizo mali zake/zenu na mkafika mbali zaidi,pia mtaanza familia utamlelea watoto nk hizo ni contributions pia.
Ila for me sijui ila napenda nianze na mtu ambaye tutaanza from the scratch tufight na kufikia malengo pamoja, hii itacreate bonge moja la bond/ love story mapito ya hapa na pale ambayo hata tutakuja kusimulia wanetu, ila hizi ready made mmh unaweza ambiwa hukuja na chochote humu ndani so utatoka kama ulivokuja.🙄
Note:kuanza na mtu from the scratch haimaanishi hatoweza kukufanyia chochote kibaya akiamua, kuna ambao akipata anaona siyo type yake anatafuta pisi kali nyingine, so tupendaneni tu pasi na kujali kuna mali or not.
Ila for me sijui ila napenda nianze na mtu ambaye tutaanza from the scratch tufight na kufikia malengo pamoja, hii itacreate bonge moja la bond/ love story mapito ya hapa na pale ambayo hata tutakuja kusimulia wanetu, ila hizi ready made mmh unaweza ambiwa hukuja na chochote humu ndani so utatoka kama ulivokuja.🙄
Note:kuanza na mtu from the scratch haimaanishi hatoweza kukufanyia chochote kibaya akiamua, kuna ambao akipata anaona siyo type yake anatafuta pisi kali nyingine, so tupendaneni tu pasi na kujali kuna mali or not.