Mh chukua chombo hiko kinafaa usizunguke sanandio,
hii kazi inahitaji walio tayari wakati wowote, kuwa ofisini au field at any given time. so, I appreciate your redness and for sure, ur commitment in saving mwanainchi, along side kiongozi mchapakazi sana wa wanaichi, hapa mjengoni na kule jimboni chini kabisaa kwa wanaichi 🐒
for that one,
as a visionary and able leader, I must congratulate you Missy Gf, a beautiful lady with brain, by joining me to this activity of transforming standards and lives of mwanainchi to the tremendous prosperity in both economic, social and political spheres 🌹
🤣🤣🤣Halafu mashangazi yanahonga wakati mdogo wangu inabidi akuhonge weweHuyu mimi siwezi kumtaja hata kwa bahati mbaya...ngumi za mashangazi siziwezi kabisa
Mimi na wewe Tena ubuyu unao relax😁Weeee usinambie....hebu nipe dodoso basiii
Soma vizuri Uzi😂😂Jmn Uzi umesema unaovutiwa 🤣
Ila ingekuwa vinginevyo ningemtaja mmoja🏃🏃🏃🏃
🤣🤣🤣 Yaani kanishangaza hawajui watu maarufu hivyo anamuwaza cantri tuMtt wa juzi huyu atawajulia wapi shooo🤣🤣🤣
Ye amjua kantry na mulasil tu
Hapo ni mwendo wa adhabu tu dadadeki😁😁😁Mashangazi yakinuna, anakufungia ndani ya nyumba siku nzima 😂😅😂
😂😂😂utukutu umeanza lini lakiniJiangalieni,ana mke wake huyo jamaa Hadi majina yao yamefanana wote kina "Ke"jifanyeni nyakunyaku yakiwakuta simo
🤣🤣🤣🤣🤣Sio huyo bwana,anataka umtaje nanihii
🤣🤣🤣Naona wanajizima data wanaparamie majimbo ya watu😂😂😂utukutu umeanza lini lakini
🤣🤣🤣🤣🤣Sio huyo bwana,anataka umtaje nanihii
🤣🤣 wenye majimbo yao wametulia chumbani🤣🤣🤣Naona wanajizima data wanaparamie majimbo ya watu
We waache wajitie wendawazimu😂🤣🤣 wenye majimbo yao wametulia chumbani
Ila waparamiaji wanasumbua vibarazani
Unajizima data eeeh,tunakuwashia WiFi tu mbona,,,🤣🤣Nani 😂😂😂 huyo ambae simtambui jamani
Nidokezee herufi hata moja basi 🤣🤣Unajizima data eeeh,tunakuwashia WiFi tu mbona,,,🤣🤣
😂😂 wakichoka kuhangaika watatuliaWe waache wajitie wendawazimu😂