Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

style ya hiyo reply haina uzoefu wa huku, Anyway kama zimefika reply 1647 na Jina zito, lipitalo majina yote JF, lenye mamlaka ndani ya JF, halijatajwa basi kila kitu ni ubatili hapo juu 😂😂😂
Umetisha🤣🤣🤣
Majina makuu yapo boss mimi

Ningelipata wapi kuzisikia sifa zote kuu hizi kama siyo kujitoa ufahamu na kujifanya mlinzi?🤣🤣🤣
Atanisamehe mtoa mada
 
Back
Top Bottom