Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Aluta continuaaa,, huu uzi upo kasi🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi ndio nilikuwa naelekea.Ulikuwa hata ushavunja ungo kweli wewe Ana?? 🤣
Hapo ndo ujue there’s nothing new under the sun and nothing old under the moon!
Yaani 2010 unaona ni zamani?Nahisi ndio nilikuwa naelekea.
2010 chaaa!😂😂😂😂
Wengine hata simu hatuna,
Ila leo tupo tunabishana na watu ambao tangu 2010 wapo jf tayari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani 2010 unaona ni zamani?
Hapo JF tayari ilikuwa na miaka 4!
Nyenzi.com ilianza miaka 95/96 na watu tulikuwepo huko [emoji1787].
Some of are the OGs of this shit.
Y’all better put respect on our names [emoji1787].
Nyie hata adventures za Mzee Mwanakijiji na Chiku hamzijui….
Da Chiku sijui yupo humu….daah.
Hahahaaaa waulize majasusi wa JF walionizaa. Wanacho cheti changu za kuzaliwa 🤣.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
2010 siyo zamani?
Huyu Mzee mwanakijijj naona ona ID yake,Chiku simjui.
Hee! 96??
Umenidanganya hapa
Kwani Ngabu umezaliwa mwaka gani?
Nilinganishe na miaka yangu.
Aisee..watu wasije kuanza ku google....tumetoka mbaliYaani 2010 unaona ni zamani?
Hapo JF tayari ilikuwa na miaka 4!
Nyenzi.com ilianza miaka 95/96 na watu tulikuwepo huko 🤣.
Some of are the OGs of this shit.
Y’all better put respect on our names 🤣.
Nyie hata adventures za Mzee Mwanakijiji na Chiku hamzijui….
Da Chiku sijui yupo humu….daah.
Nani huyo ana cheti chako nikachungulie?😆Hahahaaaa waulize majasusi wa JF walionizaa. Wanacho cheti changu za kuzaliwa 🤣.
Hahahaa!Nani huyo ana cheti chako nikachungulie?😆
Kwahiyo Ngabu 2010 tayari ulikuwa Marekani?
Mmmh!
Fanya tukutane katikati…..Magu au Lamadi….Mmmh!
Acha uongo
Njoo hapa Chato nikuone
Unanidanganya haupo Simiyu.Fanya tukutane katikati…..Magu au Lamadi….
Hebu guess basi nione kama utapatia….Unanidanganya haupo Simiyu.
Turudi kwenye lile swali langu la umri.
Siwezi kuguess hataHebu guess basi nione kama utapatia….
Yaani nijiachie hapa hapa kwenye ndege na mchwa kibao?Siwezi kuguess hata
Hesabu za umri nilifeli 😂
Hebu niambie tu mwenyewe.
Hahahahaha..humu unaeza kuta una chit chat na mabinti zetu ..ndio maana tunapunguza speedUlikuwa hata ushavunja ungo kweli wewe Ana?? 🤣
Hapo ndo ujue there’s nothing new under the sun and nothing old under the moon!
Hahahahaha..waki google watajikuta wananza na shikamoo halafu wanaendeleaAisee..watu wasije kuanza ku google....tumetoka mbali
Kabisa!Hahahahaha..humu unaeza kuta una chit chat na mabinti zetu ..ndio maana tunapunguza speed
Sawa sawa Mkuu usemalo ..mie nimekua makini mno maana unaeza chit chat na Binti yako au na binti wa mzee mwenzioKabisa!
Ndo maana nimepunguza ku engage na IDs mpya.
Nimeounguza ushiriki wangu JF.
Maana hakuna jipya.
Mfano hii mada, wengine tulishaianzisha hapa miaka 14 iliyopita.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni full tafraniii, wengine walikua wana train Gym sehem 1, yaan ni full heka heka.Weee!! Usinambie kwahiyo mashoga wakageukana?? Wakanyakuliana danga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa kazi mpk leo anafanya aliyomtafutia miongozo?? Humu kumbe kuna ajira za pichu zinatolewa udugu!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Udugu harusi tunayo anko maba kapenda huku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]