Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

Nataka iwe ya kisasa zaidi nipate wadhamini ili memba atakayehojiwa apate hata hela ya soda ili afunguke bila kona kona [emoji23][emoji23][emoji23]

Na nataka wale mastar humu ndo nianze nao, wenye kashikashi zao.!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shangazi wa mtukula hiko kipengele anafit kabisaa.!! Kanisa litametameta sana mana naye ni mkali wa vitambaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani 2010 unaona ni zamani?

Hapo JF tayari ilikuwa na miaka 4!

Nyenzi.com ilianza miaka 95/96 na watu tulikuwepo huko 🤣.

Some of us are the OGs of this shit.

Y’all better put respect on our names 🤣.

Nyie hata adventures za Mzee Mwanakijiji na Chiku hamzijui….

Da Chiku sijui yupo humu….daah.
😀😀😀 umenikumbusha mbali sana, Chiku na Prince kitambo sana! Careless Whisper ukawa wimbo maarufu machinjioni
 
Udugu sema kweli?? Had gym? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sa ikawaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ndo ktk kujua wanageukana hao mashost,
M1 alienda ofisi kwa jamaa ili wakutane, ndo selee kushuka kwenye gari hataki, kumbe kafupi, kana macho makubwaa, bichwa tango,

Yaani copy copy na Selee wa mbosso [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom