Ladies Talk: Kufuatia kisa cha Mbuta Nanga

Ladies Talk: Kufuatia kisa cha Mbuta Nanga

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Yaani mimi kutumia tu hela yangu kwa matumizi yangu naona naumia.

Je, Kwa kumtafutia viza, kumsafirisha mpaka London mtoto wa mama mkwe, kufunga nae harusi, kumlea na kumsomeshea mwanae uliyemkuta nae kwa pesa yako..... eeeh watu kuweza.

Sometimes naona hata sio suala la uzuri au age imeenda yaani Kuna kitu naona kama kimekuwa trend huu moyo wanawake wenzetu wanautoa wapi? Umchukue tu kijana umleee? In exchange of what?

Watu wanamsema Mbuta Nanga, oooh age imeenda hana uzuri embu niambieni tu hii list ya macelebs;
1. Zari
2. Shishi
3. Aunt Ezekiel
4. Rihama Ally (Sina uhakika na jina
5. Sepetu
6. Uwoya na mtoto wa Jack Pemba, Dogo janja
7. Wolper

Hawa ni wazuri na bado umri uko vizuri wanapata nini Kwa hawa Mariooo na huu moyo wa kipekee wa kulea hawa viumbe wanautoa wapi?
 
Yaani nilibaki mdomo wazi, kwa mwezi unamtumia mwanaume Paundi 5000 +? Huyu msukuma itakuwa alikuwa anajituma sana, alikuwa anapiga sana deki kwa bibi.

20230606_215746.jpg
 
Mimi kwanza mwanaume akiniomba hela tu, baasi. Yaani ninamuona kama mavi. Hao wanawake wanaohonga ni Nye ge tu zinawasumbua, basi na vile vijana wanajituma kwenye 6 ×6, baasi wanawake wanadata kabisa.
 
Yaani mimi kutumia tu hela yangu kwa matumizi yangu naona naumia.

Je, Kwa kumtafutia viza, kumsafirisha mpaka London mtoto wa mama mkwe, kufunga nae harusi, kumlea na kumsomeshea mwanae uliyemkuta nae kwa pesa yako..... eeeh watu kuweza.

Sometimes naona hata sio suala la uzuri au age imeenda yaani Kuna kitu naona kama kimekua trend huu moyo wanawake wenzetu wanautoa wapi? Umchukue tu kijana umleee? In exchange of what?

Watu wanamsema mbuta nanga oooh age imeenda hana uzuri embu niambieni tu hii list ya macelebs;
1. Zari
2. Shishi
3.Aunt Ezekiel
4. Rihama Ally (Sina uhakika na jina
5. Sepetu
6. Uwoya na mtoto wa Jack Pemba, Dogo janja
7. Wolper

Hawa ni wazuri na bado umri uko vizuri wanapata nini Kwa hawa Mariooo
na huu moyo wa kipekee wa kulea hawa viumbe wanautoa wapi?
Kama hujui hata show wanapewa vipi huwezi kujinafasi sana kuongelea hali zao.

Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.
 
Inaonekanaa Hela umeiona Ina thamani kubwa sana kuliko mapenzii...inaonekanaa hata mama mkwe wako akiumwa unaweza usimpeleke hospital kisa tu Hela Yako ngumu kutokaa ,,acha roho mbayà madam
 
Back
Top Bottom