Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Sijakuelewa hapakaishia kukimbia na kwenda kwa mwanaume mwenzake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa hapakaishia kukimbia na kwenda kwa mwanaume mwenzake
Mbuta nanga anadai mme wake ni shoga.Sijakuelewa hapa
Aisee50/50 Dada,
Haki sawa kwa wote.
Roho mbaya saana hiii victorieMimi kwanza mwanaume akiniomba hela tu,baasi .Yaani ninamuona kama mavi.Hao wanawake wanaohonga ni Nye ge tu zinawasumbua,basi na vile vijana wanajituma kwenye 6 ×6 ,baasi wanawake wanadata kabisa.
Duh.Mbuta nanga anadai mme wake ni shoga.
🤣🤣Mimi kwanza mwanaume akiniomba hela tu,baasi .Yaani ninamuona kama mavi.Hao wanawake wanaohonga ni Nye ge tu zinawasumbua,basi na vile vijana wanajituma kwenye 6 ×6 ,baasi wanawake wanadata kabisa.
Humu JF mwanaume anakufuata DM eti anaomba hela,hapo anakuambia yupo ndani kwake anaangalia bunge.Kweli mwanaume unashinda ndani kuangalia bunge?Si bora utoke nje ukabebe hata zege jamani.
Maisha kusaidiana kuna muda michongo inakataaa.Humu JF mwanaume anakufuata DM eti anaomba hela,hapo anakuambia yupo ndani kwake anaangalia bunge.Kweli mwanaume unashinda ndani kuangalia bunge?Si bora utoke nje ukabebe hata zege jamani.
Mtu anaomba elfu 10 eti hajala,kweli Bongo imekuwa ngumu namna hii?Maisha kusaidiana kuna muda michongo inakataaa.
Hao wakukaa ndani kutofanya Kazi hapana kabisa hawastaili
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wanaume WA sinza na kinondoni.Mtu anaomba elfu 10 eti hajala,kweli Bongo imekuwa ngumu namna hii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]50/50 Dada,
Haki sawa kwa wote.
Sasa mwsho wao wamegeukia kwa wanaume wenzao, ukimtoa Kiba tyuuh hapo.hao wanao lea marioo huwa ni wadangaji na wajuaji sana. Ali k na ommy d na ben kinyaiya wamekula sana hela za wadada na mimama ya Europe hasa UK [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dr nimechekaa sanaaa.Humu JF mwanaume anakufuata DM eti anaomba hela,hapo anakuambia yupo ndani kwake anaangalia bunge.Kweli mwanaume unashinda ndani kuangalia bunge?Si bora utoke nje ukabebe hata zege jamani.
😳😳😳😳😳😳.kukimbia na kwenda kwa mwanaume mwenzake
Mbuta nanga anadai mme wake ni shoga.
Mbona sie wanaume tunatumia na hamtupi ata mia mnatupa mbususu zenu tuuHapana ,some times akiwa na shida au nikiwa nimekwama kusaidiana ni sawa,ila sio tarehe 1 ninakupa paundi 1000,tarehe 5 the same, mind you that wewe haujawahi nipa hata mia.