Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi jua mkuu kama walikukata ki**mi..Yaani mimi kutumia tu hela yangu kwa matumizi yangu naona naumia.
Je, Kwa kumtafutia viza, kumsafirisha mpaka London mtoto wa mama mkwe, kufunga nae harusi, kumlea na kumsomeshea mwanae uliyemkuta nae kwa pesa yako..... eeeh watu kuweza.
Sometimes naona hata sio suala la uzuri au age imeenda yaani Kuna kitu naona kama kimekua trend huu moyo wanawake wenzetu wanautoa wapi? Umchukue tu kijana umleee? In exchange of what?
Watu wanamsema mbuta nanga oooh age imeenda hana uzuri embu niambieni tu hii list ya macelebs;
1. Zari
2. Shishi
3.Aunt Ezekiel
4. Rihama Ally (Sina uhakika na jina
5. Sepetu
6. Uwoya na mtoto wa Jack Pemba, Dogo janja
7. Wolper
Hawa ni wazuri na bado umri uko vizuri wanapata nini Kwa hawa Mariooo
na huu moyo wa kipekee wa kulea hawa viumbe wanautoa wapi?
aiseeeMbuta nanga anadai mme wake ni shoga.
Kwa hiyo hakujua kuwa mumewe alikuwa shoga kabla ndoa?Mbuta nanga anadai mme wake ni shoga.
Mbona hata watu wazima wenzetu wanakolezaSioni shida kama bi mkubwa amekolezwa na penzi la Serengeti
Hahahah penzi halijijichibuongiMapenzi upofu
Penzi kikohozi
Hamna maali nimesema Nina maisha ya maana,wala Nina unga unga...rudia kusoma uziChuki zako tu kwa wanaume
Hao pesa ipo haiwaumi kama wewe unayeungaunga maisha.
Kama kutumia hela yako kunakuuma utasema una maisha ya maana?
Na dada WA taifa kasema ....wadada WA uk ndo michezo Yao....au like baridihao wanao lea marioo huwa ni wadangaji na wajuaji sana. Ali k na ommy d na ben kinyaiya wamekula sana hela za wadada na mimama ya Europe hasa UK 🤣
Sawa....namtoa sepetuMtoe sepetu, whozu anajiweza
Naona alikua ananyonya Kila sehem inayofikika Kwa binaadam maana kama ni kujituma zipo chaliii zinapiga mzigo ila hazipati hichi kiwangoYaani nilibaki mdomo wazi,kwa mwezi unamtumia mwanaume Paundi 5000 +?Huyu msukuma itakuwa alikuwa anajituma sana,alikuwa anapiga sana deki kwa bibi.View attachment 2648386
Deki ndio password au sio? Back to the topic. Mapenzi huja kutokea katika mazingira yasiyotarajiwa.Yaani nilibaki mdomo wazi,kwa mwezi unamtumia mwanaume Paundi 5000 +?Huyu msukuma itakuwa alikuwa anajituma sana,alikuwa anapiga sana deki kwa bibi.View attachment 2648386
🤣 🤣 🤣 🤣Naona alikua ananyonya Kila sehem inayofikika Kwa binaadam maana kama ni kujituma zipo chaliii zinapiga mzigo ila hazipati hichi kiwango
Wanachokipata ni kukojozwa madam!!Yaani mimi kutumia tu hela yangu kwa matumizi yangu naona naumia.
Je, Kwa kumtafutia viza, kumsafirisha mpaka London mtoto wa mama mkwe, kufunga nae harusi, kumlea na kumsomeshea mwanae uliyemkuta nae kwa pesa yako..... eeeh watu kuweza.
Sometimes naona hata sio suala la uzuri au age imeenda yaani Kuna kitu naona kama kimekua trend huu moyo wanawake wenzetu wanautoa wapi? Umchukue tu kijana umleee? In exchange of what?
Watu wanamsema mbuta nanga oooh age imeenda hana uzuri embu niambieni tu hii list ya macelebs;
1. Zari
2. Shishi
3.Aunt Ezekiel
4. Rihama Ally (Sina uhakika na jina
5. Sepetu
6. Uwoya na mtoto wa Jack Pemba, Dogo janja
7. Wolper
Hawa ni wazuri na bado umri uko vizuri wanapata nini Kwa hawa Mariooo
na huu moyo wa kipekee wa kulea hawa viumbe wanautoa wapi?
Faida ya Mario ni kuwa unaruhusiwa kudanga. Hata akitaka kuleta danga lake ndaniYaani mimi kutumia tu hela yangu kwa matumizi yangu naona naumia.
Je, Kwa kumtafutia viza, kumsafirisha mpaka London mtoto wa mama mkwe, kufunga nae harusi, kumlea na kumsomeshea mwanae uliyemkuta nae kwa pesa yako..... eeeh watu kuweza.
Sometimes naona hata sio suala la uzuri au age imeenda yaani Kuna kitu naona kama kimekua trend huu moyo wanawake wenzetu wanautoa wapi? Umchukue tu kijana umleee? In exchange of what?
Watu wanamsema mbuta nanga oooh age imeenda hana uzuri embu niambieni tu hii list ya macelebs;
1. Zari
2. Shishi
3.Aunt Ezekiel
4. Rihama Ally (Sina uhakika na jina
5. Sepetu
6. Uwoya na mtoto wa Jack Pemba, Dogo janja
7. Wolper
Hawa ni wazuri na bado umri uko vizuri wanapata nini Kwa hawa Mariooo
na huu moyo wa kipekee wa kulea hawa viumbe wanautoa wapi?
Hahahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣 hayo maisha ni magumuFaida ya Mario ni kuwa unaruhusiwa kudanga. Hata akitaka kuleta danga lake ndani
Namuonea huruma sana....na anavyojurekodi anaonekana katumia na Bado anampenda jamaa..Mbutananga jaman aisee bado namtafakari
Baada ya kupigwa mapaundi ndo jamaa kawa shoga sio kwamba yale mahela alikuwa anahonga af kapigwa chini ndio yanamuuma kaamua kumchafua MsukumaMbuta nanga anadai mme wake ni shoga.