Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Lucas Mobutu,
Nimeiona Mkuu.
Nimeiona Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu, njoo uchukue usijali.Naomba kidogo..
Nachukulia wapi sasa.. I'm siriaz
Nachukulia wapi sasa.. I'm siriaz
Unaniwekea kwenye flash
Ahahah kwanini?, flash ninayo nakuwekea. Apo ni ww mwnyw tuu ujue utazifata kwa njia gn.Jibu laonyesha nyimbo hazitapatikana
Location please inasoma wapi?
roselina john,
Na sisi tuliopenda miziki ya Pepe kale, Kanda Bongoman na Papa Wemba, tumo?
Shida ni moja, ukicomment tu humu unaonekana Lady.
Ndio maana wengine tume upload tu muziki na kusepa bila kuweka neno lolote.Shida ni moja, ukicomment tu humu unaonekana Lady.
Mtoa mada acha ubaguzi