Ladies ukipata boyfriend mshabiki wa Arsenal, usimwache

Ladies ukipata boyfriend mshabiki wa Arsenal, usimwache

Kuna ka ukweli kabisa, kwa miaka mingi leo nimemuona hubby kafurahi!!!
Halafu mbaya zaidi ni shabiki wa Yanga...natamanigi kumwambia aache kushabikia hayo matimu maana namuona anateseka, lakin najua hawezi kunisikiliza...naishia kumsapoti tuu!!

Mimi na Arsenal kwakweli ni damdam
Sinywi pombe
Sivuti sigara
Sio mtu wa dance
Just soccer, office..... hata nifungwe vipi.

At home she gets all the best out of it.

Very amazing.
 
Hapana sisi sio wabahili ila tunatengeneza zana zetu wenyewe alafu pia tunaomba mtupende tu kama tulivyo maana ndivyo tulivyo na Arsenal tumeipenda kama ilivyo.
Aaaaah babeeeeh mie nakupenda tyuuuh hivoooh, hata usiponipa hela wala haina shda, napenda mvumilivu na unanipenda kwa dhati, lol [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Aaaaah babeeeeh mie nakupenda tyuuuh hivoooh, hata usiponipa hela wala haina shda, napenda mvumilivu na unanipenda kwa dhati, lol [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Wacha weeee [emoji7][emoji7] umenifanya siku yangu leo iende vizuri [emoji173] [emoji8][emoji8] I love you too
 
Huyo tuko pamoja Mimi Ni shabiki wa yanga na Arsenal hakika hata kwenye mahusiano Nina uvumilivu wa kiwango Cha SGR na Leo wife kanipa hongera baada ya kukabidhiwa ngoja nipumzike ntapongezwa Tena alfajiri
Hongera mkuu, Yanga badilisheni mfumo wa uendeshaji uwe wa kisasa mtafanikiwa sio hii kama jana Nyonzima kasainiwa sebuleni kwa mtu [emoji23], Morisson hamjui analala wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Usikose kuangalia yatakayotoea Sumbawanga leo
 
Kwanza hongera kwa wana Arsenal wenzangu kwa kubeba ndoo ya FA leo. Go Gunners

Back to topic, kwa madada wote mnaotafuta wenza bora wa maisha, kama hufanikiwi katika nyanja hiyo nawashauri jaribu kuanzisha mahusino na mkaka shabiki wa Arsenal.

Faida zake

1. Uvumilivu
Sisi ni wavumilivu sana, hata timu ifungwe goli 8, hatusaliti chama.
Na pia uvumilivu huu unaakisi kwenye mahusiano, tunavumilia changamoto zote za kwenye mahusiano, mara nyingi tukipenda hatuachi, hadi tuachwe sisi.

2. Uaminifu
Tunaamini tulichonacho ndicho tulichopewa na Mungu, hatutafuti kingine.
Tunapenda wapenzi wetu saaana ila sio kama Arsenal, always Arsenal first.
Tukiwa na mchepuko ni ngumu sana ku-maintain mafiga matatu, utajua tu.

3. Sio walevi
Hapa wadada wasipokuelewa wasije kutafuta mchawi mbeleni....
Once a Gooner, alwayz a gooner[emoji471][emoji471]
 
Wazee tusimsahau Bellerin. Goli la pili move ilianzia kwake kabla hajawa tackled.

Amedrible umbali mrefu past hawa blue blue, akawa tackled mpira ukamuangukia Pepe.

Kilichofuata ni Arsenal kwenda Europa
 
Wacha weeee [emoji7][emoji7] umenifanya siku yangu leo iende vizuri [emoji173] [emoji8][emoji8] I love you too
Ur ma light, am ur shadow, never ever wannah let u goh,
Ur ma shyneeh, when am in troubed babeeeh yeaaaah.
Nakupenda moaaaah wa ubavu wangu, enjoy it [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590].

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hongera mkuu, Yanga badilisheni mfumo wa uendeshaji uwe wa kisasa mtafanikiwa sio hii kama jana Nyonzima kasainiwa sebuleni kwa mtu [emoji23], Morisson hamjui analala wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Usikose kuangalia yatakayotoea Sumbawanga leo
Hahahahh mkuu umeeleweka Sana kiukweli tunahitaji kufanya Jambo hapo jangwani maana tumedharaulika Sana na watani zetu, angalau mwakani tubebe kombe
 
Hahahahh mkuu umeeleweka Sana kiukweli tunahitaji kufanya Jambo hapo jangwani maana tumedharaulika Sana na watani zetu, angalau mwakani tubebe kombe
Ni vizuri kuona Simba na Yanga zinashindana kimataifa kama Wydad na Raja Casablanca, Al Ahly na Zamalek au Espérence de Tunis na Étoile du Sahel, viongozi wetu wakiacha kuendesha timu kienyeji na Mazoea tunaweza kufika nusu fainali kila mwaka.
 
Ni vizuri kuona Simba na Yanga zinashindana kimataifa kama Wydad na Raja Casablanca, Al Ahly na Zamalek au Espérence de Tunis na Étoile du Sahel, viongozi wetu wakiacha kuendesha timu kiejeni na Mazoea tunaweza kufika nusu fainali kila mwaka.
Na uzuri Ni kwamba hizi timu zetu Zina fan base kubwa Sana Ila viongozi wetu na mfumo wa uendeshaji ndo hauendani na soka la wakati huu, Mpira wa Sasa Ni uwekezaji na siyo maneno maneno
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I miss him.
 
Back
Top Bottom