Niaje jombaaa? Usichakachue sredi bana
Mapenzi hayana formular hata kidogo, na ndoa ni maajaliwa, waweza pigiwa simu hata mara 30 kwa siku, waweza tambulishwa hadi kwa bosi wake, waweza hudumiwa sijui kama nini vile lakini mwisho wa siku kutendwa kunatokea.....so mama huu msaafu uliouweka hapa sidhani kama ni universal principles
Fact!.......
Well done mstaafu.
Halaf hawa wadada tunawasaidia mikakati na mpaka sasa sijapata hata PM moja ya kushukuriwa. Damn!
hii ni mawasiliano ya simu. Undani wa mawasiliano unakuja kwenye issues zenyewe, mnapenda kuongelea issue zinazoshabihiana na je mnakubaliana. Kuna njemba ambazo zinajifana mnafafana kwenye interests na discussions, na akakubali kila unachomwambia kabla hujamkubalia tunda au ndio gia ya kutongezea. Akipata ****** hulia mbwata na kuonyesha makucha.
Nionyeshe ullivyo nikupende ulivyo, bottom line mwanaume lazima approvide.
niko hapa,mambo?
Mapenzi hayana formular hata kidogo, na ndoa ni maajaliwa, waweza pigiwa simu hata mara 30 kwa siku, waweza tambulishwa hadi kwa bosi wake, waweza hudumiwa sijui kama nini vile lakini mwisho wa siku kutendwa kunatokea.....so mama huu msaafu uliouweka hapa sidhani kama ni universal principles
unamtafuta the boss au finest. Usipite juu ya topic utafuta maandishi.
w'msalaam! Usipite hivi hivi.
Hus,
Vitu vingi ulivyovitaja ni vya kweli ila inabidi wajukuu zangu muwe waangalifu...Kuna vitu vingine vina-apply kwa mtu ambaye keshapata dozi ya kutosha. Ukiviangalia kwa mtu anayefukuzia, basi utauvaa mkenge kwa sababu huwa wanatimiza karibia yote hayo ili walau watunukiwe mara moja!
Husninyo,punde tu nimepokea E mail toka kwa Eliza wa Tegeta,kaniambia niikopi na kuipest hivo hivo ilivyo bila kutoa chenga,anasema yeye yuko bize na vekesheni hukooooooo Acapulco. Hivyo kesi ya kupiga chabo hainihusu. Inasomeka hivi:
ANGALIZOKupendwa na kuolewa:hivi mtu akikupenda lazima akuoe? Hamuwezi kupendana bila kuoana? strings?conditionality,sikubusu mpaka unifanyie hichi.....,i thought mambo haya yanatakiwa ya flow yenyewe.
Mawasiliano: Yaani hampeani muda wa kupumua kisa mapenzi?mkioana mtaendelea hivo hivo au ndo mwanzo wa kusema 'hunipendi siku hizi' kisa hajajibu sms?
Ushirikishwaji: Huu ndo mwanzo wa kufungwa sasa.Nikushirikishe kwenye mazabe yangu na siku tukikorofishana si utanilipua kwa Kova?
Utambulisho: Anayekupenda ni mimi au ni mama,baba au dada zangu?Ukishawajua ndo muanze umbea na ma sis wangu,'oh wifi afadhali wewe yule Maryam alikuwa ni wa hovyo',inahuu?
Mazingira: Mwenzangu geti kali Masaki mi uswazi choo paspoti saiz nikulete halafu uni dump?lol tutaendelea kukutana steers.
Kunifahamu: Jamani nshakuchojolea,ushaniona unyayo,kabamia hadi utosi,unataka unifahamuje zaidi ya hapo?
Ubahili: yale yaleeeeeeee,pesa sabuni ya roho,sawa bana sisi sakapoko mwaka huu hatuoi,maana hata kazini kwenyewe nauli shughuli.
Ameoa: Si inategemea jamani? labda nina mpango wa kumpiga chini wife nikuoe wewe,au labda dini/kabila inaniruhusu?
Hitimisho: IT IS ALL ABOUT FRICTION,period!
Hii ndio nilikuwa namaanisha kule kwenye post yangu ya kwanza.Husninyo,
Nashukuru sana kwa sred nzuri. Japokuwa MEN wamepigwa marufuku lakini kumbe mwishoni umewahitaji! Mimi naomba nichangie katika suala la ushirikishwaji:
1. Kuna baadhi ya wanawake ukiwashirikisha jambo utalisikia "mtaa wa pili!" Hapa ikitokea hivyo unafikiri huyo mwenzi atashirikishwa tena?
2. Kuna baadhi ya wanawake mkijadili jambo analazimisha lifanyike atakavyo yeye, otherwise atakinunia wiki nzima!
Anyway,
Yako mengi ambayo wanawake huwafanya wanaume watumie ubabe katika mapenzi na kama ikishindikanana kilichobaki ni "kukata mti na kupanda mti!"
Husninyo,
Nashukuru sana kwa sred nzuri. Japokuwa MEN wamepigwa marufuku lakini kumbe mwishoni umewahitaji! Mimi naomba nichangie katika suala la ushirikishwaji:
1. Kuna baadhi ya wanawake ukiwashirikisha jambo utalisikia "mtaa wa pili!" Hapa ikitokea hivyo unafikiri huyo mwenzi atashirikishwa tena?
2. Kuna baadhi ya wanawake mkijadili jambo analazimisha lifanyike atakavyo yeye, otherwise atakinunia wiki nzima!
Anyway,
Yako mengi ambayo wanawake huwafanya wanaume watumie ubabe katika mapenzi na kama ikishindikanana kilichobaki ni "kukata mti na kupanda mti!"
Mie umeniwekea "speed governor":
"Thread hii ni maalum kwa wadada hasa waliopo kwenye mahusiano ila bado hawajaolewa..."
Nilipita kusalimia tu, lakini nipo nawachungulia tu, mambo mazito haya mie yamenizidi kimo.
Mapenzi hayana formular hata kidogo, na ndoa ni maajaliwa, waweza pigiwa simu hata mara 30 kwa siku, waweza tambulishwa hadi kwa bosi wake, waweza hudumiwa sijui kama nini vile lakini mwisho wa siku kutendwa kunatokea.....so mama huu msaafu uliouweka hapa sidhani kama ni universal principles
Ni kweli kabisa HUS... Yamenikuta hayoo. Kuja kujua mshkaji hakuwa kweli serious kuwa na future na mimi nilikuwa too late. Ilinipain sana, sbbu nilikuwa nimejitoa kiukweli na alikuwa na ananipa matumaini chanya. Leo nimesoma hii thread no nimetafakarii na nimegundua kuna ukweli kabisa, na yaliyonitokea ni kweli yanaendana na idea yako.
Kwa wanaume msio wakwwli kwa wapenzi wenu, please at the beggining of mahusiano yenu, ni vema ukawa muwazi kabisaaa on what kind of relation unahtaji kwa hyo mpenzi wako. i.e wakuzugia, short time, long term friendship without marriage, mchumba na baadae awe mke e.tc. Mnatuuumizaga sana psychologically.
Mama Tuli....