Ladies understand your men (Wadada tu, wanaume marufuku)

Ladies understand your men (Wadada tu, wanaume marufuku)

Mapenzi hayana formular hata kidogo, na ndoa ni maajaliwa, waweza pigiwa simu hata mara 30 kwa siku, waweza tambulishwa hadi kwa bosi wake, waweza hudumiwa sijui kama nini vile lakini mwisho wa siku kutendwa kunatokea.....so mama huu msaafu uliouweka hapa sidhani kama ni universal principles

Nimeupenda sana mchango wako kwa sababu upo katika uhalisia wa maisha ya kweli na si haya ya kidotcom.

Nimalizie kwa kulonga kimombo.

A successful marriage requires a lot of give-and-take between husband and wife. Not from husband to wife or from wife to husband. The same applies to a boyfriend-girlfriend relationship.
 
hii ni mawasiliano ya simu. Undani wa mawasiliano unakuja kwenye issues zenyewe, mnapenda kuongelea issue zinazoshabihiana na je mnakubaliana. Kuna njemba ambazo zinajifana mnafafana kwenye interests na discussions, na akakubali kila unachomwambia kabla hujamkubalia tunda au ndio gia ya kutongezea. Akipata ****** hulia mbwata na kuonyesha makucha.

Nionyeshe ullivyo nikupende ulivyo, bottom line mwanaume lazima approvide.

Hiki ndio nimewaonya wajukuu zangu,,

Ningekuwa na tunda langu hata sijui kama kuna mtu angeligusa..Yaani, lingeweza hata kukaribia kuniozea!!!!

Babu DC!!!
 
Mapenzi hayana formular hata kidogo, na ndoa ni maajaliwa, waweza pigiwa simu hata mara 30 kwa siku, waweza tambulishwa hadi kwa bosi wake, waweza hudumiwa sijui kama nini vile lakini mwisho wa siku kutendwa kunatokea.....so mama huu msaafu uliouweka hapa sidhani kama ni universal principles

Fact!......
 
Husninyo,
Nashukuru sana kwa sred nzuri. Japokuwa MEN wamepigwa marufuku lakini kumbe mwishoni umewahitaji! Mimi naomba nichangie katika suala la ushirikishwaji:
1. Kuna baadhi ya wanawake ukiwashirikisha jambo utalisikia "mtaa wa pili!" Hapa ikitokea hivyo unafikiri huyo mwenzi atashirikishwa tena?
2. Kuna baadhi ya wanawake mkijadili jambo analazimisha lifanyike atakavyo yeye, otherwise atakinunia wiki nzima!
Anyway,
Yako mengi ambayo wanawake huwafanya wanaume watumie ubabe katika mapenzi na kama ikishindikanana kilichobaki ni "kukata mti na kupanda mti!"
 
Nawatafuta wote
wakaoge
wameshacheza sana na wamechafuka mno

kwa kweli hii sredi naomba niiheshimu tu niendelee kuwasaka hawa watoto

unamtafuta the boss au finest. Usipite juu ya topic utafuta maandishi.
 
w'msalaam! Usipite hivi hivi.

Mie umeniwekea "speed governor":

"Thread hii ni maalum kwa wadada hasa waliopo kwenye mahusiano ila bado hawajaolewa..."

Nilipita kusalimia tu, lakini nipo nawachungulia tu, mambo mazito haya mie yamenizidi kimo.
 
Hus,

Vitu vingi ulivyovitaja ni vya kweli ila inabidi wajukuu zangu muwe waangalifu...Kuna vitu vingine vina-apply kwa mtu ambaye keshapata dozi ya kutosha. Ukiviangalia kwa mtu anayefukuzia, basi utauvaa mkenge kwa sababu huwa wanatimiza karibia yote hayo ili walau watunukiwe mara moja!

Bahati mbaya natumia katochi kangu nimeshindwa ku-like....very good point.
 
Husninyo,punde tu nimepokea E mail toka kwa Eliza wa Tegeta,kaniambia niikopi na kuipest hivo hivo ilivyo bila kutoa chenga,anasema yeye yuko bize na vekesheni hukooooooo Acapulco. Hivyo kesi ya kupiga chabo hainihusu. Inasomeka hivi:

ANGALIZO
Kupendwa na kuolewa:hivi mtu akikupenda lazima akuoe? Hamuwezi kupendana bila kuoana? strings?conditionality,sikubusu mpaka unifanyie hichi.....,i thought mambo haya yanatakiwa ya flow yenyewe.
Mawasiliano: Yaani hampeani muda wa kupumua kisa mapenzi?mkioana mtaendelea hivo hivo au ndo mwanzo wa kusema 'hunipendi siku hizi' kisa hajajibu sms?
Ushirikishwaji: Huu ndo mwanzo wa kufungwa sasa.Nikushirikishe kwenye mazabe yangu na siku tukikorofishana si utanilipua kwa Kova?
Utambulisho: Anayekupenda ni mimi au ni mama,baba au dada zangu?Ukishawajua ndo muanze umbea na ma sis wangu,'oh wifi afadhali wewe yule Maryam alikuwa ni wa hovyo',inahuu?
Mazingira: Mwenzangu geti kali Masaki mi uswazi choo paspoti saiz nikulete halafu uni dump?lol tutaendelea kukutana steers.
Kunifahamu: Jamani nshakuchojolea,ushaniona unyayo,kabamia hadi utosi,unataka unifahamuje zaidi ya hapo?
Ubahili: yale yaleeeeeeee,pesa sabuni ya roho,sawa bana sisi sakapoko mwaka huu hatuoi,maana hata kazini kwenyewe nauli shughuli.
Ameoa: Si inategemea jamani? labda nina mpango wa kumpiga chini wife nikuoe wewe,au labda dini/kabila inaniruhusu?

Hitimisho: IT IS ALL ABOUT FRICTION,period!


Taratibu kaka Bishanga,

Hapo kwenye blue...ni wajukuu zangu wachache sana ambao wako tayari kukuachia mwili wao uufanyie ma experiment yako na kuukodolea macho kama movie bila malengo......Labda kama mmeshakubaliana dau!!

Ila kwa uzoefu wangu...hakuna taabu kwa mwanamume kubwa (at anytime "t"), kama kuwa na mwanamke ambaye ni wa kutoa burudani tu......Baada ya kupata dozi kama 10 hivi, anakuwa kero na unwanted/undesirable/uninteresting kama kituo cha Kova!!
 
Husninyo,
Nashukuru sana kwa sred nzuri. Japokuwa MEN wamepigwa marufuku lakini kumbe mwishoni umewahitaji! Mimi naomba nichangie katika suala la ushirikishwaji:
1. Kuna baadhi ya wanawake ukiwashirikisha jambo utalisikia "mtaa wa pili!" Hapa ikitokea hivyo unafikiri huyo mwenzi atashirikishwa tena?
2. Kuna baadhi ya wanawake mkijadili jambo analazimisha lifanyike atakavyo yeye, otherwise atakinunia wiki nzima!
Anyway,
Yako mengi ambayo wanawake huwafanya wanaume watumie ubabe katika mapenzi na kama ikishindikanana kilichobaki ni "kukata mti na kupanda mti!"
Hii ndio nilikuwa namaanisha kule kwenye post yangu ya kwanza.
U r on spot buddy. Senks
 
Husninyo,
Nashukuru sana kwa sred nzuri. Japokuwa MEN wamepigwa marufuku lakini kumbe mwishoni umewahitaji! Mimi naomba nichangie katika suala la ushirikishwaji:
1. Kuna baadhi ya wanawake ukiwashirikisha jambo utalisikia "mtaa wa pili!" Hapa ikitokea hivyo unafikiri huyo mwenzi atashirikishwa tena?
2. Kuna baadhi ya wanawake mkijadili jambo analazimisha lifanyike atakavyo yeye, otherwise atakinunia wiki nzima!
Anyway,
Yako mengi ambayo wanawake huwafanya wanaume watumie ubabe katika mapenzi na kama ikishindikanana kilichobaki ni "kukata mti na kupanda mti!"

kweli kabisa na ndio maana nikasema kama usiposhirikishwa kwa kutoa ushauri basi ushirikishwe japo kwa kupewa taarifa.
 
Nawatafuta wote
wakaoge
wameshacheza sana na wamechafuka mno

kwa kweli hii sredi naomba niiheshimu tu niendelee kuwasaka hawa watoto

ahsante kwa kuiheshimu. Ngoja nimwambie mtoto TF kuwa anatafutwa.
 
Mie umeniwekea "speed governor":

"Thread hii ni maalum kwa wadada hasa waliopo kwenye mahusiano ila bado hawajaolewa..."

Nilipita kusalimia tu, lakini nipo nawachungulia tu, mambo mazito haya mie yamenizidi kimo.

hahahahaha! Niliwaekea swali lenu wenye ndoa ila mnalipita. Lol.
 
Mapenzi hayana formular hata kidogo, na ndoa ni maajaliwa, waweza pigiwa simu hata mara 30 kwa siku, waweza tambulishwa hadi kwa bosi wake, waweza hudumiwa sijui kama nini vile lakini mwisho wa siku kutendwa kunatokea.....so mama huu msaafu uliouweka hapa sidhani kama ni universal principles

Ni kweli hakuna recipe ambayo inaweza kuwagusa watu wote...Ila zipo ambazo zinawagusa wengi...Kama una idea ya kitu kinaitwa normal distribution, basi utakubaliana nami kwamba mawazo ya Hus yanawagusa wengi....Pia soma ushuhuda wa Kokutona!!
 
Ni kweli kabisa HUS... Yamenikuta hayoo. Kuja kujua mshkaji hakuwa kweli serious kuwa na future na mimi nilikuwa too late. Ilinipain sana, sbbu nilikuwa nimejitoa kiukweli na alikuwa na ananipa matumaini chanya. Leo nimesoma hii thread no nimetafakarii na nimegundua kuna ukweli kabisa, na yaliyonitokea ni kweli yanaendana na idea yako.
Kwa wanaume msio wakwwli kwa wapenzi wenu, please at the beggining of mahusiano yenu, ni vema ukawa muwazi kabisaaa on what kind of relation unahtaji kwa hyo mpenzi wako. i.e wakuzugia, short time, long term friendship without marriage, mchumba na baadae awe mke e.tc. Mnatuuumizaga sana psychologically.

Pole sana Koku,

Ila wewe (may be na wenzako), kama unaenda gengeni kununua kitumbua badala yake ukafungiwa andazi huwezi kustuka???

Siamini kama kuna watu wanakuwa naive kiasi hicho!!
 
Back
Top Bottom