Ladies, what do you wear in bed?

Hahaha hapana chezea mabinti wa mwendokasi. Yani kumpiga chura mateke ndo kumuongezea mwendo. Ila shost alitisha ndani ya miezi 5 na ndoa juu teh, mwenzie Alijua bado shost atakuwa anaomboleza
 
hahahaaaaaa!! mmoja alisomba nguo zoote za mwanaume kwa hasira akapelekea watoto yatima, kuna watu wamepinda, waliachana mwanaume akamwambia achukue aonacho kinamfaa ndani, alianua hadi carpet akaenda kugawa.

I know right!



Nimependa alivyo mstaarabu, akambebesha mpaka bia zake.
Wengine wana hasira mbaya anamwacha mwanaume mweupe!
Kuna mtu alibeba mpaka nyanya na vitunguu.
 
alikuwa anasubiri kwenda kuangukiwa na kuombwa msamaha, akashangaa kadi ya mwaliko ndio inamfuata.

Hahaha hapana chezea mabinti wa mwendokasi. Yani kumpiga chura mateke ndo kumuongezea mwendo. Ila shost alitisha ndani ya miezi 5 na ndoa juu teh, mwenzie Alijua bado shost atakuwa anaomboleza
 
I know right!



Nimependa alivyo mstaarabu, akambebesha mpaka bia zake.
Wengine wana hasira mbaya anamwacha mwanaume mweupe!
Kuna mtu alibeba mpaka nyanya na vitunguu.
Mmh kuna watu ni mataahira khaa. Eti kabeba hadi Nyanya hataree
 
Reactions: kui
alikuwa anasubiri kwenda kuangukiwa na kuombwa msamaha, akashangaa kadi ya mwaliko ndio inamfuata.

Hahaha hapana chezea mabinti wa mwendokasi. Yani kumpiga chura mateke ndo kumuongezea mwendo. Ila shost alitisha ndani ya miezi 5 na ndoa juu teh, mwenzie Alijua bado shost atakuwa anaomboleza


...safi sana, my girls right there.

Hii inaitwa MOVING ON!
 
Khaaaaaa umenifanya niandike kitu wakati nilipanga kusoma tu, nimecheka hatariii
 
Heaven Sent halafu huyu RRONDO alikuwa anasema nini hapa. Kwamba ubaki tu unaumia hata kama mtu hana mpango na wewe kwa kuogopa nini?!
Yani niliwish kama angefunguka zaidi, maan statement yake imenipa tafsiri nyingi kichwani. Like maybe everytime people "lose you" kwa sababu una kitu kinachowa-push away ......
 

kule alikoenda kwa nyodo nako aliachwa binti akarudiana na mtu wake wa zamani wakatangaza ndoa, emagine hiyo scenario.


Karma is a big @ss bi.tch
Yalimkuta mbona..
 
Yani niliwish kama angefunguka zaidi, maan statement yake imenipa tafsiri nyingi kichwani. Like maybe everytime people "lose you" kwa sababu una kitu kinachowa-push away ......

...good thinking, was about to start dropping lines on him.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…