Ladies, what do you wear in bed?

Ladies, what do you wear in bed?

Nilimchoka akanishtukia. Siku moja nimetoka safari nikampigia ili anihesabie dinner nile nisepe kwangu.

Kufika kwake na tuwine twangu nikakuta tv imetunguliwa ukutani, redio hadi masufuria na mifuniko yake, bia nilizoziacha kwenye friji yake zipo kwenye mfuko na nguo ninazoachaga nikilala kwake!!! Sikuuliza hata kinachoendelea nikajua tu kimenuka

Mvua ilikuwa inanyesha akawa ananifunika na mwamvuli wakati nasomba mizigo yangu kama to the left ya beyonce

Miezi minne badae akaolewa kabisa kabisa na picha niliona fb! Yani ukisikia tatu bila au kupata sifuri kwenye mtihani ndio huku
Hahaha to the left, to the left
Everything you own in the box to left

You must not know about me, you must not know about me
I could have another you in a minute, matter of fact he'll be here in a minute

So ulikuwa unaishi kwake au? Pole mwaegi
 
hahahaaaa! safi sana, nimeipenda hiyo.

Nilimchoka akanishtukia. Siku moja nimetoka safari nikampigia ili anihesabie dinner nile nisepe kwangu.

Kufika kwake na tuwine twangu nikakuta tv imetunguliwa ukutani, redio hadi masufuria na mifuniko yake, bia nilizoziacha kwenye friji yake zipo kwenye mfuko na nguo ninazoachaga nikilala kwake!!! Sikuuliza hata kinachoendelea nikajua tu kimenuka

Mvua ilikuwa inanyesha akawa ananifunika na mwamvuli wakati nasomba mizigo yangu kama to the left ya beyonce

Miezi minne badae akaolewa kabisa kabisa na picha niliona fb! Yani ukisikia tatu bila au kupata sifuri kwenye mtihani ndio huku
 
Hahahaaa, she's a superwoman aisee, katungua mpaka tv ukutani, no wonder ukamwita Li teh!, teh!
Halafu anaonekana yuko faithful hakusahau anything of yours, masufuria, mifuniko na bia ulizoacha, damn!,..she's totally me.

Eti kama to the left ya Beyonce, JF mweh!...lol!
Hahaha afu binti ana huruma, anamfunika hadi na Mwamvuli baby asilowane na mizigo yake teh
 
  • Thanks
Reactions: kui
yaani nimecheka kama mazuri, hawa viumbe hata akikuchoka eti ukimuacha anaumia.

Hahaha to the left, to the left
Everything you own in the box to left

You must not know about me, you must not know about me
I could have another you in a minute, matter of fact he'll be here in a minute

So ulikuwa unaishi kwake au? Pole mwaegi
 
hahahaaaa! safi sana, nimeipenda hiyo.

Hahaha to the left, to the left
Everything you own in the box to left

You must not know about me, you must not know about me
I could have another you in a minute, matter of fact he'll be here in a minute
So ulikuwa unaishi kwake au? Pole mwaegi


Hahahaa!, nimempenda huyu dada.

Halafu raha sana kumfanyia mtu suprise. Eti mwenyewe kajipanga kwenda kula home made food, cha kupikwa na mtu ambaye umemchoka!
 
Hahahaa!, nimempenda huyu dada.

Halafu raha sana kumfanyia mtu suprise. Eti mwenyewe kajipanga kwenda kula home made food, cha kupikwa na mtu ambaye umemchoka!
Hahaha girl on fire. She killed him softly kwa kweli. Mtu kakuchoka, unamwambia tu best of luck
 
Hahaaaaa!, I know right, she's so nice!

Mbona ningeongeza kumlowesha na ndoo nzima
Hahaha hizo zimepitwa na wakati bana. Mnaachana kiroho safi, unamuitia tu na cab kabisa imbebee mizigo. Huyo binti nimempenda sana
 
yaani kacheza kama messi, safi sana na kuolewa juu, kweli aijua kumkomoa lusajo, kabaki na kumbukumbu fulani amaizing.


Hahahaa!, nimempenda huyu dada.

Halafu raha sana kumfanyia mtu suprise. Eti mwenyewe kajipanga kwenda kula home made food, cha kupikwa na mtu ambaye umemchoka!
 
Hahaha girl on fire. She killed him softly kwa kweli. Mtu kakuchoka, unamwambia tu best of luck

I know right!

Hahaha hizo zimepitwa na wakati bana. Mnaachana kiroho safi, unamuitia tu na cab kabisa imbebee mizigo. Huyo binti nimempenda sana

Nimependa alivyo mstaarabu, akambebesha mpaka bia zake.
Wengine wana hasira mbaya anamwacha mwanaume mweupe!
Kuna mtu alibeba mpaka nyanya na vitunguu.
 
Hahaha raha yao wakuache wewe afu uendelee kuteseka. Sasa mtu kakubwaga yeye na ndoa juu khaa

kuna mmoja alimuachaga rafiki yangu kwa nyodoo, after5 months bibie akawa anaolewa, uwii jamaa sijui aliibukia wapi eti anamtuhumu eti lazima alikuwa anachepuka, tukabaki tunacheka tu maana alitapatapa hatari.
Wanataka wakikuacha upate taabu usipate hata wa kukusalimia.
 
Back
Top Bottom