Ladies

Wifi nilienda saluni, kakako tulikuwa na kijiugomvi kidogo ndio mana niliamua kumzimia simu! Ila kwa sasa shwari manake shemeji PAW na mkewe King'asti walikuja kutusuluhisha!..


Wewe mzima wifi?, how is my kaka jamani? Amepotea sana!



Nimefurahi kama mmeyasuluhisha.... Hapo ndipo ninapowapendea Kaka Paw na wifi King...
wanajali saana ndoa za wenzao...

Mie mzima wa afya... mimi nimetoroka nyumbani bana, kakako kanichosa kila siku kazini! aarrggh! lol
 
Ngoja nisepe,kijiwe cha ma-du hiki!
 
hehehe! Darling, floor,.. Miss u more. Nimekutafuta sana leo. Nimeenda hadi jukwaa la udaku wakati mwenzio nina aleji na bado ckukuona.
Hahaha! Kumbe wewe pacha wangu wa ukweli, mie pia nna aleji na jukwaa la udaku!.. Hujanionea klorokwini swahiba? Jana kaondoka na chenchi yangu!..
 
Niece toka nimetoka nyumbani vipi kwema huko?? Na Mwali vipi tumbo lake limetulia?

nyumbani kwema aunt, tunakumiss tu. Mwali hajambo ila ananitegea kupika. Sahv nimeamua niwe naenda kula mabaga tu pande zile.
 
Nimefurahi kama mmeyasuluhisha.... Hapo ndipo ninapowapendea Kaka Paw na wifi King...
wanajali saana ndoa za wenzao...

Mie mzima wa afya... mimi nimetoroka nyumbani bana, kakako kanichosa kila siku kazini! aarrggh! lol
Wanajali sana wifi, mie pia nawapenda sana shemeji PAW na mke mwenza King...

Nimecheka eti umetoroka nyumbani...lol sio bure umetoka na pensi nyanya na nywele hujachana!
 
nyumbani kwema aunt, tunakumiss tu. Mwali hajambo ila ananitegea kupika. Sahv nimeamua niwe naenda kula mabaga tu pande zile.


Mungu wangu! nyie watoto nani anampikia ankal wenu? lol, nikikuta mmemkondesha.... Si mwanijua eeh?
 
Hahaha! Kumbe wewe pacha wangu wa ukweli, mie pia nna aleji na jukwaa la udaku!.. Hujanionea klorokwini swahiba? Jana kaondoka na chenchi yangu!..

kloro nimeshinda nae humu, ameenda kutembeza kahawa atarudi b'dae. Chenchi yako kaniachia ila nataka nikuzulumu.
 
Mungu wangu! nyie watoto nani anampikia ankal wenu? lol, nikikuta mmemkondesha.... Si mwanijua eeh?

ankal anapikiwa na cousin golden mpolee. Ukirudi utamkuta shavu dodo, kitambi hiha!
 
heheh! Ningeomba Jf igeuke skype sasa hivi tena ghafla kabisa ili waone na malapa uliovaa miguuni!!! Lol


Tafadhali usitaje sijafanya pedicure mieze karibu 6 sasa..... Hafadhali umenisitiri kutotaja makurubasi....lol

Hivi mbona wewe hutaji ovaroli ulilovaa? toka umetoka kazini na uma kenika wako hujavua wala hujanawa mikono na wala mua...
 
Wanajali sana wifi, mie pia nawapenda sana shemeji PAW na mke mwenza King...

Nimecheka eti umetoroka nyumbani...lol sio bure umetoka na pensi nyanya na nywele hujachana!


hahahahaha..... Nimekua kama kichaa eeeh? Dah! naona nirudi tu maana naadhirika bana si waona Kipipi anatoa siri hapa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…