Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
Ayaaa!! Mbona nilishakuja na kuondoka??? Ila next week naweza kurudi tena...though sina uhakika saana!
hujanitendea haki kipipi. Lol,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ayaaa!! Mbona nilishakuja na kuondoka??? Ila next week naweza kurudi tena...though sina uhakika saana!
Wifi nilienda saluni, kakako tulikuwa na kijiugomvi kidogo ndio mana niliamua kumzimia simu! Ila kwa sasa shwari manake shemeji PAW na mkewe King'asti walikuja kutusuluhisha!..
Wewe mzima wifi?, how is my kaka jamani? Amepotea sana!
Heeeeeee!!
hujanitendea haki kipipi. Lol,
kashangae feri meli inaelea shilingi inazama!
Hahaha! Kumbe wewe pacha wangu wa ukweli, mie pia nna aleji na jukwaa la udaku!.. Hujanionea klorokwini swahiba? Jana kaondoka na chenchi yangu!..hehehe! Darling, floor,.. Miss u more. Nimekutafuta sana leo. Nimeenda hadi jukwaa la udaku wakati mwenzio nina aleji na bado ckukuona.
Johnson wewe ni she?? leo kutulia home
@Ashadii, upo mumie??
Niece toka nimetoka nyumbani vipi kwema huko?? Na Mwali vipi tumbo lake limetulia?
Na wewe umeniboa! Ndio nini kutoa siri? Thank God hujasema sijachana nywele...lol
Au ng'ombe anakula majani halafu anatoa maziwa!
Wanajali sana wifi, mie pia nawapenda sana shemeji PAW na mke mwenza King...Nimefurahi kama mmeyasuluhisha.... Hapo ndipo ninapowapendea Kaka Paw na wifi King...
wanajali saana ndoa za wenzao...
Mie mzima wa afya... mimi nimetoroka nyumbani bana, kakako kanichosa kila siku kazini! aarrggh! lol
nyumbani kwema aunt, tunakumiss tu. Mwali hajambo ila ananitegea kupika. Sahv nimeamua niwe naenda kula mabaga tu pande zile.
Hahaha! Kumbe wewe pacha wangu wa ukweli, mie pia nna aleji na jukwaa la udaku!.. Hujanionea klorokwini swahiba? Jana kaondoka na chenchi yangu!..
Mungu wangu! nyie watoto nani anampikia ankal wenu? lol, nikikuta mmemkondesha.... Si mwanijua eeh?
heheh! Ningeomba Jf igeuke skype sasa hivi tena ghafla kabisa ili waone na malapa uliovaa miguuni!!! Lol
au mbuzi kula majani kunya karanga.
Wanajali sana wifi, mie pia nawapenda sana shemeji PAW na mke mwenza King...
Nimecheka eti umetoroka nyumbani...lol sio bure umetoka na pensi nyanya na nywele hujachana!
hujanitendea haki kipipi. Lol,